Kwanini wanaolalamika sana awamu hii ni wale waliopata kuwa vigogo ndani ya chama na Serikali au watoto wao?

Acha kuleta uzi wa upotoshaji kutaka kuonyesha mambo ni mazuri wakati sio kweli. Lete mnyonge ambaye amefaidika na utawala wa awamu huu, mpaka aone tofauti kubwa na siku za nyuma. Kinachofanyika hivi sasa ni kunyima uhuru wa wananchi kupaza sauti, kisha wanaishia kulishwa maneno na serikali ili kuhadaa umma kwamba mambo sasa ni mazuri.

Kuna uminywaji mkubwa wa vyombo vya habari, na taarifa pekee zinazotakiwa kuwafikia wananchi na miradi ya serikali, kisha miradi hiyo ndio inatumika kuzibia maumivu ya wananchi wasisikike kile hasa kinachowasibu. Ukweli ni kuwa hali za wananchi ni mbaya kuliko kawaida, japo kweli kuna miundombinu inaendelea. Uzuri ni kuwa propaganda haziwezi kufunika ukweli wa hali halisi za wananchi.

Wewe mtu mzima unakubalije mtu akujaze maneno ya kusema? Kuna watu hata huyo Magufuli hawajawahi kumuona live, lakini huwezi kuwaambia kitu kwa sababu effect ya anachofanya is far reaching. They can feel it from where they are.
 
Wenzako walizunguka nchi nzima kumpigia debe alipopata amewatupa jalalani kama linavyotupwa kalai lililotumika kujengea gorofa,ndicho kinachowafanya walalamike.

Na mimi ninamuunga mkono magu azidishe mbinyo kwa hawa watu waliozunguka nchi nzima kumpigia debe ndio waliotufanya tuishi katika mazingira magumu katika utawala wa awamu ya tano.

Na kwakuwa namba zinasomeka kwa wote wawewapole kwa kuwa walijitakia wenyewe kwa kiherehere chao cha kuikoa CCM ulikuwa inazama.
 
Wenzako walizunguka nchi nzima kumpigia debe alipopata amewatupa jalalani kama linavyotupwa kalai lililotumika kujengea gorofa,ndicho kinachowafanya walalamike.

Na mimi ninamuunga mkono magu azidishe mbinyo kwa hawa watu waliozunguka nchi nzima kumpigia debe ndio waliotufanya tuishi katika mazingira magumu katika utawala wa awamu ya tano.

Na kwakuwa namba zinasomeka kwa wote wawewapole kwa kuwa walijitakia wenyewe kwa kiherehere chao cha kuikoa CCM ulikuwa inazama.

Kwa hiyo hata kama wana madudu yao ilibidi awabebe tu kisa walizunguka nchi nzima kumuombea kura?
 
Wewe mtu mzima unakubalije mtu akujaze maneno ya kusema? Kuna watu hata huyo Magufuli hawajawahi kumuona live, lakini huwezi kuwaambia kitu kwa sababu effect ya anachofanya is far reaching. They can feel it from where they are.

Kama hivyo vitu ndio kigezo vya kukubalika, ni kipi kilimfanya Nyerere aamue kuwasaida weusi wa Afrika kusini na Mandela wao? Maana hao makaburu wa Afrika kusini walifanya maendeleo mara elfu ya haya anayofanya Magufuli sasa.
 
Kama hivyo vitu ndio kigezo vya kukubalika, ni kipi kilimfanya Nyerere aamue kuwasaida weusi wa Afrika kusini na Mandela wao? Maana hao makaburu wa Afrika kusini walifanya maendeleo mara elfu ya haya anayofanya Magufuli sasa.

Vitu gani? Taja kimoja tu nilichospecify
 
Inawezekana kweli lakini mdodoro katika kilimo na bei ni sababu ya rushwa.....?
 
Kwa hiyo hata kama wana madudu yao ilibidi awabebe tu kisa walizunguka nchi nzima kumuombea kura?
Madudu ni pamoja na aliyewatupa kwa hiyo ilitakiwa waendelee kuvumiliana katika madudu yao kwa kuwa wote ni walewale baba mmoja na mama mmoja.
 
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.

Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?

Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?

Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.

Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.

Walijipa hati miliki. Wanahaha kuaminisha umma mambo sio mazuri. Kumbe ukweli ni kuwa maslahi yao, kwa kutumia vyeo na nafasi zao, ndio yameyeyuka.
Kwa mfano kuna siku nilikutana na kijana mmoja ambaye anahaha kupewa tender za serikali na kampuni zake za kichina. Nikaambiwa ndo waliojenga lile bomba toka majini. Sasa yuko Dubai na UK, ila anatafuta tender zaidi wamembania.
Hao ndio hawachoki kuisema serikali hii tena bila haya.
 
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.

Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?

Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?

Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.

Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
umesha chukua buku 7 yako? unawazungumziaje wakulima wa pamba ambao hadi leo hawajui hatma ya ununuz wa pamba yao wanapigwa maneno tu,wakorosho na mbaazi washakata tamaa,, waumishi wa umma 4years wanapiga miayo bila kupewa stahiki zao, ajira ndoo baaasi ,,, hao wote hujawafikiria ambao wapo kwa ma elfu umewafikiria wana ccm wenye uroho wa uteuzi kama wewe KIAZII WEWE
 
umesha chukua buku 7 yako? unawazungumziaje wakulima wa pamba ambao hadi leo hawajui hatma ya ununuz wa pamba yao wanapigwa maneno tu,wakorosho na mbaazi washakata tamaa,, waumishi wa umma 4years wanapiga miayo bila kupewa stahiki zao, ajira ndoo baaasi ,,, hao wote hujawafikiria ambao wapo kwa ma elfu umewafikiria wana ccm wenye uroho wa uteuzi kama wewe KIAZII WEWE

Unataka kueleweshwa kuhusu hayo mambo au una-apply tabia chafu uliyofundishwa familia yako? Gimbi mbatata we.
 
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.

Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?

Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?

Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.

Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
Salary Slip na lowasa. Jamaa analia mpaka leo, toka 2015.
 
Walijipa hati miliki. Wanahaha kuaminisha umma mambo sio mazuri. Kumbe ukweli ni kuwa maslahi yao, kwa kutumia vyeo na nafasi zao, ndio yameyeyuka.
Kwa mfano kuna siku nilikutana na kijana mmoja ambaye anahaha kupewa tender za serikali na kampuni zake za kichina. Nikaambiwa ndo waliojenga lile bomba toka majini. Sasa yuko Dubai na UK, ila anatafuta tender zaidi wamembania.
Hao ndio hawachoki kuisema serikali hii tena bila haya.

Watu wa aina hii usitarajie wataisema vizuri serikali. Na mbaya zaidi walikuwa wana over-price kila kitu sababu tu serikali inalipa. Wakome
 
Umewasaau wenye vyet feki , watota wa vigogo waliopelekwa vyuoni wakat awanasifa
 
Back
Top Bottom