Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,792
- 71,198
Taarifa hiyo hapo juu na zingine nyingi zimekuwa zikikanushwa na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kuwa zimegushiwa.
Kugushi taarifa kuwa imetoka Ikulu ni jambo la hatari sana, lakini inakuwaje hao haeashikwi wala dalili za kutafutwa lakini wanao andika yasiyo na maana mitandaoni nguvu kubwa sana inatumika kuwakamata?
Nini sababu hasa ya kulidharau hili?