young MathematiciAn
Senior Member
- Oct 31, 2016
- 160
- 361
Kwa muda mrefu nimekuwa natafakari hivi kwanini watu wanaoamini uwepo wa Mungu wakiulizwa maswali hasa yale magumu huishia kutukana na kutishia watu na huwa wakali mithili ya mbogo aliyefukuzwa na Nyati wenzie .
Mara nyingi huwa hawajibu hoja bali wanamshambulia mtu na kumtisha utaenda motoni wewe ,subiri ufe utaona au wewe ni mpumbavu wakitoa aya inayosema mpumbavu moyoni husema hakuna Mungu.
Nimefanya utafiti na kugundua 99% ya wanao amini Mungu hawawezi kufanya mdahalo,kujibu hoja.Ukimuuliza swali au kumtolea hoja ngumu lazima atoke nje ya mada hapo utatishwa utageuzwa kuwa sisimuzi mara subiri ufe uone utakavyounguzwa,utakejeliwa,utatukanwa.
Mbona wanafikra huru wasioamini Mungu wapo calm, hutoa hoja na kujibu bila panic.
Kwanini huwa hivyo wadau wa Jamii Forum shida inakuaga wapi ?
Mara nyingi huwa hawajibu hoja bali wanamshambulia mtu na kumtisha utaenda motoni wewe ,subiri ufe utaona au wewe ni mpumbavu wakitoa aya inayosema mpumbavu moyoni husema hakuna Mungu.
Nimefanya utafiti na kugundua 99% ya wanao amini Mungu hawawezi kufanya mdahalo,kujibu hoja.Ukimuuliza swali au kumtolea hoja ngumu lazima atoke nje ya mada hapo utatishwa utageuzwa kuwa sisimuzi mara subiri ufe uone utakavyounguzwa,utakejeliwa,utatukanwa.
Mbona wanafikra huru wasioamini Mungu wapo calm, hutoa hoja na kujibu bila panic.
Kwanini huwa hivyo wadau wa Jamii Forum shida inakuaga wapi ?