Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,741
- 5,226
Habari wanangu !
Najiuliza pasipo kua na jibu sahihi kwamba kwanini nchi ambazo raia wake wameathirika kwa kiasi kikubwa na CORONA, hawajapigwa "ban" kuingia nchini mwetu?
Ni kwamba sisi tuna huruma sana, au ni nchi masikini, au tunajali kodi zaidi, au tunajali mahusiano ya kimataifa, au tutapata hasara kubwa au kuna interest gani tunapata pasipo kuangalia afya za wananchi ambacho ndicho kitu muhimu?
Rais Donald Trump watu wanamuona katili ila ndivyo inapaswa iwe hivyo ili kulinda afya za wananchi wake,, nchi za EU zimelalamika kwa hatua aliyochukua bila kuongea na yeyote anaye wakilisha hizo nchi.
Mimi hadi sasa nilitegemea nchi ambazo zimeathirika , tungepiga stop wao kuingia nchini hadi pale mambo yatakapotengemaa kwa kiasi kikubwa.
Ndimi baba yenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza pasipo kua na jibu sahihi kwamba kwanini nchi ambazo raia wake wameathirika kwa kiasi kikubwa na CORONA, hawajapigwa "ban" kuingia nchini mwetu?
Ni kwamba sisi tuna huruma sana, au ni nchi masikini, au tunajali kodi zaidi, au tunajali mahusiano ya kimataifa, au tutapata hasara kubwa au kuna interest gani tunapata pasipo kuangalia afya za wananchi ambacho ndicho kitu muhimu?
Rais Donald Trump watu wanamuona katili ila ndivyo inapaswa iwe hivyo ili kulinda afya za wananchi wake,, nchi za EU zimelalamika kwa hatua aliyochukua bila kuongea na yeyote anaye wakilisha hizo nchi.
Mimi hadi sasa nilitegemea nchi ambazo zimeathirika , tungepiga stop wao kuingia nchini hadi pale mambo yatakapotengemaa kwa kiasi kikubwa.
Ndimi baba yenu!
Sent using Jamii Forums mobile app