Nenda kamuulize na vipi askari magereza nao kazi zao ni za kike?Mimi nimemaliza Dip.. Ya record management mwaka jana, moja ya ndoto yangu ni kuja kuwa afisa wa Policie, napendaga wale cjui wanaitwa "Fieldforce"wanavyojipambaga cjui munaita MAYOKO.
Bt ninakuwa disappointed, babu yangu yeye ni mjeshi mwenye cheo cha "Staff Sergeant" ananambia policie n kz ya kike.. nikimuuliza kwanini hanambii, Sasa maafande naomba niwekwe wazi hapa coz kwa upande wangu naona polisi ni walinzi na wanajeshi ni walinzi pia sasa cjui ukike upo wapi!!
Huyo babu yako frustration za maisha baada ya kustaafu na hako kacheo kadogo amepoteza uwezo wa kufikiri na kutoa ushauri. Ana elimu ya kiwango gani ?Mimi nimemaliza Dip.. Ya record management mwaka jana, moja ya ndoto yangu ni kuja kuwa afisa wa Policie, napendaga wale cjui wanaitwa "Fieldforce"wanavyojipambaga cjui munaita MAYOKO.
Bt ninakuwa disappointed, babu yangu yeye ni mjeshi mwenye cheo cha "Staff Sergeant" ananambia policie n kz ya kike.. nikimuuliza kwanini hanambii, Sasa maafande naomba niwekwe wazi hapa coz kwa upande wangu naona polisi ni walinzi na wanajeshi ni walinzi pia sasa cjui ukike upo wapi!!
hakikaNenda kamuulize na vipi askari magereza nao kazi zao ni za kike?
Akisema za kike basi siku moja aingie anga za askari magereza kule ndo atakapowajua wale jamaa kwamba ni kiboko ya umbea na majigambo
Wanajeshi wengi hua wanadharau wenzao, hasa wanajeshi ambao hawajasoma kama babu yako.
Waliosoma wanaheshimu mpaka mama ntiliye
Yeye babu yako ni wakiume?Mimi nimemaliza Dip.. Ya record management mwaka jana, moja ya ndoto yangu ni kuja kuwa afisa wa Policie, napendaga wale cjui wanaitwa "Fieldforce"wanavyojipambaga cjui munaita MAYOKO.
Bt ninakuwa disappointed, babu yangu yeye ni mjeshi mwenye cheo cha "Staff Sergeant" ananambia policie n kz ya kike.. nikimuuliza kwanini hanambii, Sasa maafande naomba niwekwe wazi hapa coz kwa upande wangu naona polisi ni walinzi na wanajeshi ni walinzi pia sasa cjui ukike upo wapi!!
Mimi nimemaliza Dip.. Ya record management mwaka jana, moja ya ndoto yangu ni kuja kuwa afisa wa Policie, napendaga wale cjui wanaitwa "Fieldforce"wanavyojipambaga cjui munaita MAYOKO.
Bt ninakuwa disappointed, babu yangu yeye ni mjeshi mwenye cheo cha "Staff Sergeant" ananambia policie n kz ya kike.. nikimuuliza kwanini hanambii, Sasa maafande naomba niwekwe wazi hapa coz kwa upande wangu naona polisi ni walinzi na wanajeshi ni walinzi pia sasa cjui ukike upo wapi!!