pecial
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 735
- 552
wapo lege lege sana kama RAIA wanaamua polisi hasimamiMimi nimemaliza Dip.. Ya record management mwaka jana, moja ya ndoto yangu ni kuja kuwa afisa wa Policie, napendaga wale cjui wanaitwa "Fieldforce"wanavyojipambaga cjui munaita MAYOKO.
Bt ninakuwa disappointed, babu yangu yeye ni mjeshi mwenye cheo cha "Staff Sergeant" ananambia policie n kz ya kike.. nikimuuliza kwanini hanambii, Sasa maafande naomba niwekwe wazi hapa coz kwa upande wangu naona polisi ni walinzi na wanajeshi ni walinzi pia sasa cjui ukike upo wapi!!