Mwisho wa siku Inapotez sifa ya kuitwa allowance au posho kbisaa na kuwa mshahara. Ili jambo linakera sana. Hata mtu kapewa hela ya likizo bado serikLi inataka kodi!!Hayo makosa yanafanyika idara nyingi tu za serikali. Baadhi ya idara allowance inawekwa pamoja na mshahara,kwa hiyo unajikuta inakatwa kodi. Idara zingine allowance inalipwa peke yake na mshahara. Ni mfumo mbovu wa mishahara nji hii.
Aliyekwambia Wanajeshi hawakatwi kodi ni nani..? Wanakatwa kodi vizuri tuuMambo Zenu Wanajf,
Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?
Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?
Kitu kama hujui uliza kwanza Kenge we!!!Mambo Zenu Wanajf,
Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?
Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?
Sasa kama ndio Sheri kwa nini io pesa ya posho ya chakula wenzetu hawakatwi kodi?au wao wana sheria nyingine wanatumia??Sheria ya kodi inasema 'pato lolote mtu analopata kutokana na kazi linatakiwa likatwe kodi' kwahiyo hata hizo taasisi za serikali zisizowakata wafanyakazi wao kodi ni kinyume na sheria.
Io ndio kazi yao kama mwalimu anavyohangaika na mtoto mtukutu au mbumbumbu!! Analipwa kutokana na majukumu yake na wanajeshi wanalipwa kwa kazi yao. Hawajalazimishwa wale kwenxa jeshini.Utajua wakati wa vita ambapo wakati wa umelala na mkeo au Mume wanajeshi wanakua vitani
Kwani watumishi wengine hawahitaji chakula?1. Sio kweli,wanalipa kodi kwenye mishahara yao.
2. Pesa ambayo hawalipi kodi ni pesa ya chakula,hiyo haikatwi kodi. Maana pesa hiyo haijumlishi kwenye mshahara.
3. Uwe unafanya utafiti wa kutosha kabla hujakurupuka kuleta madai yako hapa,bora ungeuliza kama huwa hawalipi kodi.
Na ww goma kulipa nauriNi nchi za kijamaa zinazoogopa wanajeshi eti MTU ana mshahara na halipi nauli wanashindwa na wanafunzi wasio na kazi
Wanalipwa posho ya chakula kutokana na kazi yao inayotumia nguvu zaidi, tena sio chakula tu ila ni special dietKwani watumishi wengine hawahitaji chakula?
Kwani walilazimshwa kujiunga na jeshi si wwmeitafuta chance kwa udi na uvumba tena wengine wanatoa rushwa ili waipateWanalipwa posho ya chakula kutokana na kazi yao inayotumia nguvu zaidi, tena sio chakula tu ila ni special diet
Kodi wanalipa tena huwa inakatwa direct kwenye mshahara upo kijana, acha mawazo mgando...Mambo Zenu Wanajf,
Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?
Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?
Hakuna kazi isiyotumia nguvu ni upendeleo tuu huoWanalipwa posho ya chakula kutokana na kazi yao inayotumia nguvu zaidi, tena sio chakula tu ila ni special diet