Kwanini wale wanaharakati wa Twitter hukiwachalenji kidogo tu kwenye hoja zao wanakutia ban,
Kwanini?
Kila wanachosema wao wanataka ukiunge mkono ukibishana nao tu tena kwa hoja wanakutia ban kwa nini?
Mimi sio mwanasiasa, na sio mwanachama wa chama chochote, huwa nasema kweli kwenye kweli, na kweli penye uongo.
Halafu ndio hao wanaharakati wanaotetea Uhuru wa kutoa maoni wakati wao hawapendi kusikia baadhi ya vitu flani fulani,
Wanajifanya ni magreat thinker wakati wako empty, Zero brain,
Ukiwajibu kwa fact wakiona kweli wamehelemewa wanakutia ban, usione, wala kureply kwenye post
zao shubamit.
Wanaharakati uchwara.
Nb:
Yule ndugu yao Kigogo aliyewasaliti aliniban kitambo kisa nimechallange , yule wakujiita Maltin M. M Nae kaniblock, yule mdada wao anaetukana tukana bila staa nae kaniblock,
Alafu wanajiita wanaharakati watetezi wa haki za binadamu.
Cc Zero IQ
Tunajaribu kupunguza idadi ya wajinga kwenye feeds zetu. Mtu anakuwa hana objective arguments au anamatusi matusi tu sasa huyo unamwacha wa nini?
Jielimishe: Twitter = mtandao wa kijamii ambao kimakosa umeuita "Tweeter" which instead means "mtu anayetwiti," na kile kinachopostiwa huitwa "tweet."
Kwenye mtandao huo kuna kitufe kinachomwezesha mtumiaji kumbloku mtu mwingine kwa sababu yoyote ile atakayoona inafaa. It is there for a reason, sio urembo.
Uzoefu unaonyesha kuwa "kila mfungwa hudai ameonewa, hakufanya kosa lililopelekea kufungwa." Likewise, kila mtu anayelimwa bloku Twitter hukimbilia kulalamika kuwa ameonewa.
Kukusaidia tu, mtu akikubloku kwenye mtandao wa kijamii sio kama amebloku mfumo wa hewa mwilini mwako. There’s more to life than Twitter. Move on with your life...