okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Hello guys
Naamini mwanafunzi yoyote anaepata division 1, o-level ya necta ana uwezo mzuri kiakili, sasa nashangaa wengiiiiii tena waliopata division 1 ya point 8 au divison 1 point 9 kwa O-level, wakifika advance haswa kwenye michepuo ya pcm, pcb na egm, huishia kupata division 3 au division 4, wachache mnooooooo hupata division 1 wakifika advance, tena division 1 yenyewe inakuwa ni division 1 ya 9, ile ya kukimbilia division 2
Nini kinachosababisha hii hali?
1)Uvivu? 2)Kuridhika na kubweteka 3) Akili ina-stuck 4)wanatupiwa madude yenye asili ya uarabuni na wabongo? au
Tushirikishane katika hili huenda tukawapa mwanga wa kujipanga kwa hawa madogo wa form 4 wanaotaka kuchukua sayansi advance
Naamini mwanafunzi yoyote anaepata division 1, o-level ya necta ana uwezo mzuri kiakili, sasa nashangaa wengiiiiii tena waliopata division 1 ya point 8 au divison 1 point 9 kwa O-level, wakifika advance haswa kwenye michepuo ya pcm, pcb na egm, huishia kupata division 3 au division 4, wachache mnooooooo hupata division 1 wakifika advance, tena division 1 yenyewe inakuwa ni division 1 ya 9, ile ya kukimbilia division 2
Nini kinachosababisha hii hali?
1)Uvivu? 2)Kuridhika na kubweteka 3) Akili ina-stuck 4)wanatupiwa madude yenye asili ya uarabuni na wabongo? au
Tushirikishane katika hili huenda tukawapa mwanga wa kujipanga kwa hawa madogo wa form 4 wanaotaka kuchukua sayansi advance