Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,248
- 31,361
Ni kweli, Binafsi pale Ifunda masomo hayo niliyaacha tukiwa form two.Labda kwa sasa hivi. Miaka hiyo wale waliosoma sekondari za ufundi masomo kama History, Geography na Biology walikuwa hawasomi/haafanyii mtihani form four. Nafikiri hata kwa wale wa michepuo ya biashara kuna baadhi ya hayo mosomo unayoita ya "msingi" hayakuwa ya msingi kwao.
But nakiri kuwa huenda nimepitwa na wakati sana.....na labda mambo yameshabadirika kwa sasa.