yaani cjajua kila mtu unaekutana nae ni mzuriBasi vyuo vina maroho mabaya,,,yanawavaa waonekane kingonongono
jeshini nimepita sehemu nyingine labda kwenye mabenkiHujaenda kwenye majeshi ww
Maliza kusoma kwanzajeshini nimepita sehemu nyingine labda kwenye mabenki
sio mimi tyu fanya utafiti utagundua kuna hojaMhhh yaan akili yako umeitune ivo ivo ..kwaiyo endelea kurefresh kichwa mkuu.
haya nimesikiliza ushauriMaliza kusoma kwanza
mavazi pia make up sio kivileUnavutiwa na makeup
Bas sawamavazi pia make up sio kivile
labdaNi kwa kuwa ndio kwanza wameingia ukubwani
Akili yako imekaa kichuochuo!.....huwazi wala huoni nje ya hapo,ukipanua wigo wa akili yako utagundua wanawake wenye mvuto wapo sehemu zoteNajiuliza kila siku ninapokua chuo kwanini dada zetu wanamvuto wakimapenzi katika vyuo mbalimbali nchini?
unauhakika nipo kijijini ?Somaa ww achaaa kushangaaaa ....mama ako analimaa kijijini ww badala ya kusomaa unakujaa kuangaliaaa warembo wa chuo shaurilo ....
ndio aiseee ni hatare ukuUkiwazoea utawaona kama dada zako tu