Kwanini wana JF ' tunaogopa ' kujiuliza hili Swali na Kufanya ' Thorough and Comparative Analysis ' juu yake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,073
107,564
Hivi kunaweza kweli ndani ya ama Miezi Mitatu au Miwili kukafanyika ' Mabadiliko ' ya Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais ( PSU ) na TISS DG ambapo kabla yake Naibu wake ( TISS ) aliondolewa na kuwa RAS huko Tabora, halafu kusiwe na ama hali na wasiwasi / mashaka kabisa juu ya Usalama wa Mheshimiwa Rais wetu? Je hakuwezekani kwamba labda ndani huko Idarani ( Taasisini ) kuna ' Vuguvugu ' kubwa na pengine labda kuna Mipango ilikuwa inaendelea hivyo imezimwa ' Kiujasusi ' kupitia hizi Teuzi za hawa Watu muhimu Wawili ukiachilia mbali na Yule wa Jeshini?

Naomba ' Logically ' kabisa leo tulijadili hili ili tuwasaidie Wasaidizi wake kwani linashtua na linaogopesha pia. Ukiangalia matukio mengi ya Marais wengi ama Kupinduliwa au Kuuwawa kabisa huwa yanakuja ghafla baada ya Mabadilko katika Idara Nyeti hasa za Usalama na ile ya Jeshini pia.

Sisemi na sitaki Kuhalalisha kuwa labda Uzi huu nimeuanzisha nikiwa na maana ya kwamba Usalama wa Mheshmiwa Rais wetu uko Mashakani lakini katika hali ya kawaida na hasa ukilitumia Jicho Pevu la Ndege Tai haya Mabadiliko ya ghafla na hizi Teuzi za ghafla huko Usalama na Jeshini zinaweza kukupa Picha fulani kuwa pengine hali si Shwari ila Wananchi tunafichwa tu kwakuwa wenyewe wanasema kuwa kuna tunayoyajua na yale tusiyoyajua pia.

Karibuni katika Mjadala ambao nahitaji uwe ni wa Afya ( Tija ) zaidi na tuonyeshe kuwa kweli Sisi ni ' Great Thinkers ' wa JF.
 
Sometimes what you have written Mr Eagle can be the case and sometimes cant.

Therefore we need not to create unnecessary fear among countrymen that their most honourable leader is at test or something similar to that.

We always pray and we will continue to pray that this little man from the end corner of this beautiful and most blessed country in terms people,land ,natural resources in Africa is protected at all cost and any weapon formed against him shant proper.
 
Wanakikosi wenyewe hawataki kabisa kuiongelea hii hali wewe unataka sie mabaharia tujadili hili jambo hapa jamvini?

Si kuitakia JF na Mello wa watu matatizo tu?
Tuwahurumie kidogo ukizingatia kesi bado inaunguruma.
 
kibongo bongo hata yakimkuta ya kumkuta itatengenezwa story kwa ajili ya public, wataanza kutuambia amelazwa lugalo baada ya kuanguka ghafla lakini hali yake ni nzuri, kisha hali imebadilika na amekimbizwa nje ya nchi, kisha ameitwa na bwana.
lakini kumbe ukweli ni aliisha pelekwa kwa bwana muda mrefu tu.
 
Akili kumkichwa, na ujinga kumkichwa.

Ila hadi kuna mabadiliko means mkulu kaona kuna vitu haviendi sawa, sasa swala la vitu gani haviendi sawa acha tumwachie mwenyewe aliyefanya teuzi....

Note: Ni vyema kujifunza vingi na sio kujua kila kitu, vingine havituhusu
 
Mtoa post ni kiazi kweli kweli
Haaaahaaaa....I wanted to ask...nani kasema kuna mtu ana kazi ya kudumu enzi hizi? Tulizoea, ukiondoa JK Nyerere, kuwa mtu akipewa madaraka, basi ndio ameula mpaka yaje yasiyokuja.
 
Akili kumkichwa, na ujinga kumkichwa.

Ila hadi kuna mabadiliko means mkulu kaona kuna vitu haviendi sawa, sasa swala la vitu gani haviendi sawa acha tumwachie mwenyewe aliyefanya teuzi....

Note: Ni vyema kujifunza vingi na sio kujua kila kitu, vingine havituhusu

ill-fated and Ludicrous.
 
Wanakikosi wenyewe hawataki kabisa kuiongelea hii hali wewe unataka sie mabaharia tujadili hili jambo hapa jamvini?

Si kuitakia JF na Mello wa watu matatizo tu?
Tuwahurumie kidogo ukizingatia kesi bado inaunguruma.
Naquote iyoo sentensi ya mwisho baada ya kiulizo na sintoiandika.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom