avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,322
- 12,731
Hayo yote ul;iyoyaeleza kwa mzungu yanawezekana na yanatekelezekeka lakini kwa mbongo???? ataisoma employment and labour reletions act yote lakini atakachokitekeleza ni strike, leave mbalimbali, kudai mishahara, kudai vyeo, na maslahi mbalimbali lakini kwenye wajibu wa kazi ndio hizo dharura za kukwepakwepa kazi anavizia mwisho wa mwezi ufikeMfanyakazi wa sekta binafsi kudai mkataba sio uvivu, ni kuzuia uvunjwaji wa sheria unaofanywa na mwajiri.
Sheria inataka kila mfanyakazi awe na mkataba wa ajira tena apewe mkataba wakati wa kuajiriwa na sio baada ya kuajiriwa, mwajiri awe na rejesta ya mikataba ya ajira kwa wafanyakazi, na pia aitunze mikataba ya ajira ya wafanyakazi aliowafukuza kazi au waliomaliza muda wa mkataba kwa muda wa miaka 5 toka tarehe ya kukoma kwa ajira zao.
Mkataba wa ajira ni takwa la kisheria, ni lazima.