EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Hahahaaaa ni stress tu za kutosoma UDSM,Kwani BAED tumemkosea nini huyu mkuu hadi tusiweke Hizo Alumna and Alumnus 😀
Hahahaaaa ni stress tu za kutosoma UDSM,Kwani BAED tumemkosea nini huyu mkuu hadi tusiweke Hizo Alumna and Alumnus 😀
Alichagua mwenyewe kusoma huko Must atuache siye BAED wa Ud😀 hivi huwezi andika "Must Alumnus " tusijiendekeze kwamba lazima iwe UD banaHahahaaaa ni stress tu za kutosoma UDSM,
hahahahaaaaaa, UDSM bhana lazima nirudi tena kuifaidi mlimani campus aise. I love campus life.Alichagua mwenyewe kusoma huko Must atuache siye BAED wa Ud😀 hivi huwezi andika "Must Alumnus " tusijiendekeze kwamba lazima iwe UD bana
Yaani japo kuwa nilisoma mbali sana na huko na sasa mvii zinaninyemelea, lakini maisha yangu yote ya furaha ni kumbukumbu ya campus lifehahahahaaaaaa, UDSM bhana lazima nirudi tena kuifaidi mlimani campus aise. I love campus life.
Sasa mtu kasoma Mihayo Tabora atajivunia chuo chake kweli ???Kwan wa saut wamekatazwa kuweka vyuo vyao jamani?
😀😀Sasa mtu kasoma Mihayo Tabora atajivunia chuo chake kweli ???
Kwan wa saut wamekatazwa kuweka vyuo vyao jamani?
DuhEt Na Walio somea Uwalimu UD wana weka
Muhas ya nn kama unamudu ada ya kcmc, me nimeapply muhas, kcmc,mchas na udom, kote ninauhakika wa kupata md Ila sipendelei muhas kwasababu ya stori nazopigiwa na baadhi ya wanaosoma huko, pia humuhumu jf, muhas nasikia watu wanasoma kwa stress, sup za njenje mitihani migumu isiyofuata medical criteria...KCMC ndio nini mkuu, kwani ww hukutamani kwenda MUHAS, mm najua ulikwenda second hand university kwasababu marks zako hazikutosha. All in all hata MUHAS ilikua part ya UDSM na ndio maana walivyo jitenga wanafunzi wakipindi hicho waliomba kupewa vyeti vya UDSM
Kwasababu ni vyuo bora kwa hapa nchini to be proud of .
Comment yako ingekuwa na ka uzuri Fulani, Ila nilipoona "MamaSamia2025, nimeshakuona bwege!Hata sisi tuliosoma Chuo Cha Nyuki Tabora tunakubali kuwa UDSM ni chuo bora zaidi hapa nchini. Ni ndoto ya karibu kila mtanzania kusoma pale. Kinachosababisha sisi wengine tujikute VETA ni ukosefu wa matokeo mazuri form six. Kupata nafasi baadhi ya kozi UDSM ni kimbembe. Mnaosema cha muhimu hela ni kujifariji tu ila hela bila degree ya UDSM ni mboga bila chumvi. Kama hukupita UDSM ukiwa undergraduate basi pambana ukapate hata postgraduate diploma kuondoa nuksi kwenye haya maisha.
Cha muhimu ni kuwa mama yako anajua umuhimu wangu. Wewe ni mwanangu wa kambo hata ukiniona bwege haina shida.Comment yako ingekuwa na ka uzuri Fulani, Ila nilipoona "MamaSamia2025, nimeshakuona bwege!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huo ndio ujazo wa akili yako!Cha muhimu ni kuwa mama yako anajua umuhimu wangu. Wewe ni mwanangu wa kambo hata ukiniona bwege haina shida.
Usitishie kujamba wakati unaharisha.Huo ndio ujazo wa akili yako!
Nakuonea huruma Sana
Kuwa na akili ya kitaahira Ni hasara Mara elfu kuliko faida ya kuigiza ubaba wa kambo!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app