Inasikitisha mpaka leo wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka jana, hawajapangiwa shule mpaka leo,wenzao wa private walishaanza tarehe 6 mwezi 3.hawa watoto wa walala hoi wataweza kweli kupambana na hawa wamatajiri?wenzao wako darasani wao wanazurura
mkuu hizi habari zina uhakika?usijali wadau tumefuatilia imebainika kua hata wanafunzi waliopata BDD,CCD,DDC,ADD,DAD katika combi zao hasa HKL wamepangiwa shule.lakin mwisho ni div.111.25
Shule wameshapanga, visit http://moe.go.tz for more info