Kwa nini unafikiri kila mtu anataka maendeleo? Watu wengine washamua maisha haya mafupi maendeleo is overrated, wanajirusha tu, doing them. Kwa nini utake ku force principles zako za kumforce kila mtu atake maendeleo?
Tunarudi kule kule, mtu mzima hazuiwi kuvuta sigara chumbani kwake, hata kama sigara inaweza kusababisha kansa.
MakondoMkuu Luten
Umetafuta kesi kwa hiari yako mwenyewe, wakaa ughaibuni watakugawana vipande vipande ingawa hoja zako nyingi zina ukweli isipokuwa kwa wachache tu ambao wamepata kazi zinazolipa vizuri makaratasi yametulia na wana mchango mkubwa kwa familia zao nyumbani na kwa pato la taifa kwa fedha za kigeni na kwa hiyo hizo sababu zako haziwagusi kwa namna yoyote ila ni watu wameamua kuchapa kazi manake zinalipa.
Makondo
Najua kweli nimegusa wengi lakini kuna wakati lazima tuambiane ukweli hatuwezi kuendelea kwa vijana wote kuzamia nje lazima nchi au individuals tutafute namna ya ku wamotivate hawa warudi, zaidi ya kujidanganya kuwa vijana walio nje wanasaidia nyumbani kuliko vijana walio nyumbani.
Mimi wakati natafuta nauli ya kwenda nje(kwa sababu yeyote ile) nauli niliomba kwa mjomba, kwanza akaniambia hawezi kunipa nauli za kwenda kujitesa mwenyewe nje bora anipe nifanyie biashara, sababu alizozitoa ni kuwa anaijua ulaya ina mipango yake sisi tunaoenda huko tunaonekana kama mzigo kwao kwa hiyo wanatu treat immigrants kama second hand au scraper wanakutumia to the maximum kiasi kwamba hela utakayopata kwa mshahara karibu nusu yake utaiacha kwenye kodi na nusu iliyobaki utalazimika kulipa acommodations, chakula na mahitaji mengine at the end of the day hautabaki na kitu (savings) ndiyo maana kama mtu huna elimu maana yake huna kazi nzuri humchukua muda mrefu sana kuji establish huko. Baada ya maelezo hayo nilimuona uncle kama mzushi tu nikamng'ang'ania hadi akanipanauli, nilikuja kuamini maneno yake baada ya miezi sita tu ya mwanzo.
Kwa maana hiyo unataka kusema kuna Tax Code ambayo ni Special kwa immigrants tu.Makondo
Najua kweli nimegusa wengi lakini kuna wakati lazima tuambiane ukweli hatuwezi kuendelea kwa vijana wote kuzamia nje lazima nchi au individuals tutafute namna ya ku wamotivate hawa warudi, zaidi ya kujidanganya kuwa vijana walio nje wanasaidia nyumbani kuliko vijana walio nyumbani.
Mimi wakati natafuta nauli ya kwenda nje(kwa sababu yeyote ile) nauli niliomba kwa mjomba, kwanza akaniambia hawezi kunipa nauli za kwenda kujitesa mwenyewe nje bora anipe nifanyie biashara, sababu alizozitoa ni kuwa anaijua ulaya ina mipango yake sisi tunaoenda huko tunaonekana kama mzigo kwao kwa hiyo wanatu treat immigrants kama second hand au scraper wanakutumia to the maximum kiasi kwamba hela utakayopata kwa mshahara karibu nusu yake utaiacha kwenye kodi na nusu iliyobaki utalazimika kulipa acommodations, chakula na mahitaji mengine at the end of the day hautabaki na kitu (savings) ndiyo maana kama mtu huna elimu maana yake huna kazi nzuri humchukua muda mrefu sana kuji establish huko. Baada ya maelezo hayo nilimuona uncle kama mzushi tu nikamng'ang'ania hadi akanipanauli, nilikuja kuamini maneno yake baada ya miezi sita tu ya mwanzo.
....ndiyo maana kama mtu huna elimu maana yake huna kazi nzuri humchukua muda mrefu sana kuji establish huko. Baada ya maelezo hayo nilimuona uncle kama mzushi tu nikamng'ang'ania hadi akanipanauli, nilikuja kuamini maneno yake baada ya miezi sita tu ya mwanzo.
KirangaKwa nini unafikiri kumfanya mtu atake kurudi nyumbani ni kumsaidia? Hii condescending attitude inatoka wapi?
Different strokes for different folks. Mbona tunaona watu wanarudi nyumbani, only to come back to the west (wenye access at least)?
This is a continuation of the cornucopia of cliche embracing small-mindedness and lack of focus plaguing our society. Watu wenyewe walio west mostly si enterpreneurs, una kazi za kuwapa wakirudi na kutaka kufanya kazi katika professions zao?
Some of us actually believe that nationalism is overrated and can act as a hindrance to development just as it can be used for development.
Home is where you make it, and there is no reason to be limited by spatial proximity in this age of inter-continent spanning careers and homes.
Let's not limit ourselves by some medieval thinking. As long as it works for you, and it is not illegal, do you.
Mimi silazimishi watu walio Nanyumbu waje kiwanja, kwa nini watu walio nyumbani watushikie bango?
Wengine tushaona in our hearts of hearts Tanzania pako nyuma kwa decades kibao kwa maisha tunayotaka, and the best thing for us to do is to carry Tanzania within our hearts and bring it where we are. What's wrong with that?
Si kila mtu ana priorities zenu hizo za kuwa force feed na groupthink inayo revere nyumbani hata kama nyumbani kwenyewe hakubebeki. Wengine tuna deal na the essentials tu. Kwingine huko, you do you, I do me.
Mwisho tutaanza habari za kuangalia garbage ili tuone nani kala mayai nani kala kauzu. Tuacheni hizo. It just shows mtu hana cha kufanya.
Wakati wenzetu wanafikiria kuhama hii sayari kikinuka hapa, sie tuna question kuhama nchi !
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu sana bila kupata jibu, ingawa mimi pia nilikuwa huko lakini nilibahatika kurudi nyumbani. Uzoefu wangu unaniambia kuwa ukiona mtu amekaa nje zaidi ya miaka mitatu kama si mwanafunzi au mwana diplomasia kama vile balozi basi ujue kuna tatizo, baadhi ya sababu au matatizo ninayodhani yamemfika mtu kama huyo ni haya yafuatayo;
1. Amejilipua (kaomba ukaazi wa ukimbizi kwa kutumia nchi nyingine Asylum seekers)
2. VISA imeleta matatizo wakati huo huo hataki kurudi anaogopa immigrations (wengi wa type hii ni waliokuwa na student visa ime-expire).
3. Hana elimu kiasi kwamba akirudi nyumbani atafikia kazi aliyoiacha (wengi wa type hii ni wazamiaji wa meli nk).
4. Hana uzalendo na nchi yake anaona bora abebe box na kulipa kodi kule (carefree).
5. Ameoa au ameolewa na mzungu (nafikiri hawa ni njaa tu).
6. Aliondoka nyumbani TZ kwa matatizo wanasema kakimbia soo mfn (kutoroka kesi, mauaji, kubaka, uhaini, political issues, kukorofishana na familia kama kuuza nyumba, nk)
7. Anaona aibu kurudi kwa sababu aliyotegemea na aliyoyakuta ndivyo sivyo (miaka saba sasa imekatika hata shule aliyoahidi hakuna)
8. Hana thamani tena nyumbani labda hana wanaomtegemea (baba, mama, watoto) yeye ndiye familia kwahiyo anaona bora afie huko huko.
9. Hana makaratasi kabisa hajaomba asylum seekers wala nini anaishi kwa kukwepa immigrations maisha ya wasiwasi.
10. Kuna waliosema potelea mbali bora kuteseka Ulaya kuliko kuteseka Tanzania.
11. Mbaya zaidi ni wale wanaoona ujiko kuishi majuu ingawa hawana sababu yoyote ya kuzidi kukaa huko mali wanayo na uwezo wa kurudi wanao.
Ndugu wanaJF hizi ni baadhi tu ya sababu nilizoona kwanini wenzetu hawarudi nyumbani JE tuwasaidiaje?
Nawasilisha- Naomba samahani kwa nitakaowakwaza kwa namna yeyote ile.
Kiranga
Naheshimu mawazo yako lakini umeyatoa ukitawaliwa na emotions zaidi kuna sehemu zingine nikiri sikuuelewa una maana gani.
Nilipobold ninaposema watu kurudi sina maana ya kurudi likizo ya wiki moja au mwezi ni kukusanya alichochuma na kukirudisha nyumbani.
Unaposema wakirudi nitawapa kazi gani hili liko kwenye emotions zaidi unategemea nani aziandae hizo kazi kwa hao wageni watakakaokuja nawaita wageni kwa sababu ni mgeni tu anayeandaliwa kama wao wako huko kwa miaka kumi unategemea nani awaandalie think about it.
Unaposema priority zenu una maana gani ninachoongea mimi ni mawazo yangu binafsi.
Kiranga tusiwe tunaiona Tanzania kama is a lost and failed state kuwa haiwezi kutoka ilipo kwa hiyo kilichobaki ni kuikimbia na kwenda kuishi nchi zilizojengwa na wengine, tuisaidie nchi yetu kwa kubaki Tanzania. Nitabaki Tanzania hata kama ni nchi masikini kiasi gani, kumbuka huwezi kumkataa mzazi wako kwa vile tu ni masikini utabaki umsaidie.
Kiranga
Naheshimu mawazo yako lakini umeyatoa ukitawaliwa na emotions zaidi
kuna sehemu zingine nikiri sikuuelewa una maana gani.
Nilipobold ninaposema watu kurudi sina maana ya kurudi likizo ya wiki moja au mwezi ni kukusanya alichochuma na kukirudisha nyumbani.
Unaposema wakirudi nitawapa kazi gani hili liko kwenye emotions zaidi unategemea nani aziandae hizo kazi kwa hao wageni watakakaokuja nawaita wageni kwa sababu ni mgeni tu anayeandaliwa kama wao wako huko kwa miaka kumi unategemea nani awaandalie think about it.
Unaposema priority zenu una maana gani ninachoongea mimi ni mawazo yangu binafsi.
Kiranga tusiwe tunaiona Tanzania kama is a lost and failed state kuwa haiwezi kutoka ilipo kwa hiyo kilichobaki ni kuikimbia na kwenda kuishi nchi zilizojengwa na wengine, tuisaidie nchi yetu kwa kubaki Tanzania.
Nitabaki Tanzania hata kama ni nchi masikini kiasi gani,
kumbuka huwezi kumkataa mzazi wako kwa vile tu ni masikini utabaki umsaidie.
Hapana Tax code inaweza kuwa sawa lakini kuna benefits zingine ambazo immigrant hawezi kuzipata.
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu sana bila kupata jibu, ingawa mimi pia nilikuwa huko lakini nilibahatika kurudi nyumbani. Uzoefu wangu unaniambia kuwa ukiona mtu amekaa nje zaidi ya miaka mitatu kama si mwanafunzi au mwana diplomasia kama vile balozi basi ujue kuna tatizo, baadhi ya sababu au matatizo ninayodhani yamemfika mtu kama huyo ni haya yafuatayo;
1. Amejilipua (kaomba ukaazi wa ukimbizi kwa kutumia nchi nyingine Asylum seekers)
2. VISA imeleta matatizo wakati huo huo hataki kurudi anaogopa immigrations (wengi wa type hii ni waliokuwa na student visa ime-expire).
3. Hana elimu kiasi kwamba akirudi nyumbani atafikia kazi aliyoiacha (wengi wa type hii ni wazamiaji wa meli nk).
4. Hana uzalendo na nchi yake anaona bora abebe box na kulipa kodi kule (carefree).
5. Ameoa au ameolewa na mzungu (nafikiri hawa ni njaa tu).
6. Aliondoka nyumbani TZ kwa matatizo wanasema kakimbia soo mfn (kutoroka kesi, mauaji, kubaka, uhaini, political issues, kukorofishana na familia kama kuuza nyumba, nk)
7. Anaona aibu kurudi kwa sababu aliyotegemea na aliyoyakuta ndivyo sivyo (miaka saba sasa imekatika hata shule aliyoahidi hakuna)
8. Hana thamani tena nyumbani labda hana wanaomtegemea (baba, mama, watoto) yeye ndiye familia kwahiyo anaona bora afie huko huko.
9. Hana makaratasi kabisa hajaomba asylum seekers wala nini anaishi kwa kukwepa immigrations maisha ya wasiwasi.
10. Kuna waliosema potelea mbali bora kuteseka Ulaya kuliko kuteseka Tanzania.
11. Mbaya zaidi ni wale wanaoona ujiko kuishi majuu ingawa hawana sababu yoyote ya kuzidi kukaa huko mali wanayo na uwezo wa kurudi wanao.
Ndugu wanaJF hizi ni baadhi tu ya sababu nilizoona kwanini wenzetu hawarudi nyumbani JE tuwasaidiaje?
Nawasilisha- Naomba samahani kwa nitakaowakwaza kwa namna yeyote ile.
Unaweza kuniambia ni benefits gani ambazo immigrants halali wanazikosa?.Hapana Tax code inaweza kuwa sawa lakini kuna benefits zingine ambazo immigrant hawezi kuzipata.
Wee ngoja umchokoze tu huyu bwana wa NY akija utajiju@new york ,usa