Kwanini walimu wengi wamekamatwa Qnet?

Unajua kuna tofauti kati ya network marketing na network businesses? Network marketing ni pyramid yaani network ya kuunganishana kwenye upatu kama deci, AIM Global n.k. na network businesses ni biashara kwa njia ya mtandao wa internet means online yaani unauza na kununua bidhaa through online.

Sent using Jamii Forums mobile app
You said well, hapo ndio watu wengine wanapochanganya, network market ndo hiyo watu wananaswa kama kwenye spider web, unajiunga kisha utatafuta watu wengine wa kuwaunga huku unauza products zao (hii shida) lakini network business ndio dunia iko uko unatafuta products unayoitaka unanunua online then wana deliver products zako. Sasa hii ya forever living, qnet,rifaro na wenzao, ni ujinga ujinga tu
 
Unajua kuna tofauti kati ya network marketing na network businesses? Network marketing ni pyramid yaani network ya kuunganishana kwenye upatu kama deci, AIM Global n.k. na network businesses ni biashara kwa njia ya mtandao wa internet means online yaani unauza na kununua bidhaa through online.

Sent using Jamii Forums mobile app
Close to the meaning

Kuna Network marketing
Na Networking business

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usipende kumushangaa kila mtu kwa Kazi anyoifanya. Hujui network marketing ndo biashara iliyopamba karne hii ya 21 na hujui kuwa baada ya miaka kumi ijayo network marketing ndo itakuwa the leading market in the world tatizo la wabongo wengi tunapenda Sana kuangalia movie &TV kuliko kusoma vitabu vingi vinavyoonyesha uhalisia wa Dunia ilipo na inakoelekea. Kwa wenzetu ulaya naweza SEMA huwa wapo mbele yetu kwa karne Kama moja Hivi coz kwa upande wao network marketing ilishaanza kitambo Sana na ndo biashara iliyo dominate huko kuliko local marketing ila kwa Tanzania na Africa kwa ujumla ndo bado tunaona Kama network marketing hailipi kwasababu wengi wetu bado tunaishi ktk maisha ya kijimaa . Ukitaka kuhakikisha ukweli wangu fuatillia matajri wengi duniani kama hawapo kwenye Mlm Mfano Angalia utajiri wa waanzailishi wa Network marketing Kama
Facebook
Alibaba
Amazon
Ebbay
Western Union
Harfu ndo utajua maana na Siri iliyojificha kwenye network marketing

Note: Siyo kila network marketing Ni nzuri kujihusisha nop zingine zimejaa utapeli TU na usiingie kwenye mfumo wa Network marketing pasipo kuwa na Elimu ya kutosha au akri iliyofunguka Zaidi juu ya utandawaziiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother, huenda hujui kwa kina nini maana ya network marketing.
 
Uku wapo watu wengi wa Qnet na watakauja kupinga lakini hawa Majamaa wana act Maisha flani hvi kukuvutia kujiunga lakn uhalsia wao n wanaishi hali ngumu sanaa..
Mm kuna jamaa angu mwnyw alnishaur toka 2016 had sasa ananiganda lakn hata hela ya kula nahs inampga chenga
Yaaan utoe Million 4 upewe chen ya silver af uanze kuhangaika tena kuitafta hela yako...
Hapo ndo tunapokosa Mental liberation...
 
Kwanza mkisema sijui network marketing mnakua mnakosea Sana, wangeeita labda chain marketing hivi ingekaa poa.
By the way wenye network marketing ya ukweli kabsa kama ebay, Facebook n.k hawa ndo wanafanya kazi sio hao wengne wanaodanganyana
 
Mkuu usipende kumushangaa kila mtu kwa Kazi anyoifanya. Hujui network marketing ndo biashara iliyopamba karne hii ya 21 na hujui kuwa baada ya miaka kumi ijayo network marketing ndo itakuwa the leading market in the world tatizo la wabongo wengi tunapenda Sana kuangalia movie &TV kuliko kusoma vitabu vingi vinavyoonyesha uhalisia wa Dunia ilipo na inakoelekea. Kwa wenzetu ulaya naweza SEMA huwa wapo mbele yetu kwa karne Kama moja Hivi coz kwa upande wao network marketing ilishaanza kitambo Sana na ndo biashara iliyo dominate huko kuliko local marketing ila kwa Tanzania na Africa kwa ujumla ndo bado tunaona Kama network marketing hailipi kwasababu wengi wetu bado tunaishi ktk maisha ya kijimaa . Ukitaka kuhakikisha ukweli wangu fuatillia matajri wengi duniani kama hawapo kwenye Mlm Mfano Angalia utajiri wa waanzailishi wa Network marketing Kama
Facebook
Alibaba
Amazon
Ebbay
Western Union
Harfu ndo utajua maana na Siri iliyojificha kwenye network marketing

Note: Siyo kila network marketing Ni nzuri kujihusisha nop zingine zimejaa utapeli TU na usiingie kwenye mfumo wa Network marketing pasipo kuwa na Elimu ya kutosha au akri iliyofunguka Zaidi juu ya utandawaziiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umejichanganya kufananisha Network marketing ya kina Ontario's na hao Alibaba hao wakina alibaba wanaunganisha wafanyabiashara na wanunuzi wakati wakina Ontario wanawahadaa watu wapeleke mtu kiasi anachotoa mnagawana kwa ratio na uliepeleka watu wengi gawio lako linakua kubwa yaani ukiingia huko unamtamani mtu yeyote ajiunge ili upate binadamu wanakua bidhaa wakati hayo makampuni mengine ya Network marketing yapo kibiashara kwa bidhaa kuzitangaza mtandaoni...
 
Walimu weng thinking capacity yao ni ndogo japo sio wote mkuu
Sio kweli mkuu, tatizo hii kada ya ualimu ina watumishi wengi kiasi kwamba hata ukipanda dala dala moja lazima ukute walimu zaidi ya watano kitu ambacho hakipo kada zingine.


Hata ukikusanya takwimu za watumishi wowote kuhusu tatizo lolote lile lazima ukute hawa watu ni wengi.
 
Mkuu umejichanganya kufananisha Network marketing ya kina Ontario's na hao Alibaba hao wakina alibaba wanaunganisha wafanyabiashara na wanunuzi wakati wakina Ontario wanawahadaa watu wapeleke mtu kiasi anachotoa mnagawana kwa ratio na uliepeleka watu wengi gawio lako linakua kubwa yaani ukiingia huko unamtamani mtu yeyote ajiunge ili upate binadamu wanakua bidhaa wakati hayo makampuni mengine ya Network marketing yapo kibiashara kwa bidhaa kuzitangaza mtandaoni...
Acha upumbavu we usichokijua usikisemee Ontario hajawahi Fanya hcho kitu zwazwa mkubwa Sana we unaropoka tu km chokoraa chunguza kbla hujaropoka
 
Walimu weng thinking capacity yao ni ndogo japo sio wote mkuu
Hapana mkuu tatizo sio thinking capacity ila sema ni watu wenye hali ngumu kwa hyo huwa wanaishi kwa kufarijiana.
Sasa inapotokea mwalimu mmoja ameona fursa fulani ya biashara ndio anaenda kuwachota wenzake wote wakiamini labda ndio itawakomboa.
Sasa ile imani yao kwamba pengine hii biashara itatukomboa ndio inawafanya waingie kwa pupa na kuangukia pua.
 
Walimu walianza kukamatwa enzi za DECI, Kisha Akaja Pride Tanzania, Rifaro Africa, AIM global, Qnet, Bitcoin, Rising Africa...... na CWT

You are strong than what you think...
Mkuu kwani pride pia wametapeli watu ama?hao si kazi yao ni kuwakopesha watu pesa
 
Acha upumbavu we usichokijua usikisemee Ontario hajawahi Fanya hcho kitu zwazwa mkubwa Sana we unaropoka tu km chokoraa chunguza kbla hujaropoka
Ontario na wewe kundi moja hivi unadhani mimi siwezi kutukana ila sijakua maisha ya kutukana watu ukiona mtu anatukana hovyo jua ana stress ya maisha na Elimu yake ya kawaida sana na umasikini pia ni ugonjwa kama magonjwa mengine tafuta hela upunguze stress zako utaacha kutukana hovyo uwe na busara...
 
Acha upumbavu we usichokijua usikisemee Ontario hajawahi Fanya hcho kitu zwazwa mkubwa Sana we unaropoka tu km chokoraa chunguza kbla hujaropoka
Na wewe upo kwenye kundi lake nini mimi sikutukani nishakulia maisha hayo mabovu nimepita hiyo stage...watu wengi mbona wamelia humu na upo Uzi kabisa wa malalamiko kuhusu Ontario...ila sitishwi na mtu yeyote na popote pale..
 
Back
Top Bottom