Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Walimu wa Tanzania wanapigwa na wakuu wa wilaya, bakora kedekede hasharani. Madaktari hawapigwi, wala watu wa field nyingine.
Walimu wanaonewa na wakopeshaji wa riba a.k.a mikopo ya Maruhani.
Walimu wanaonewa na serikali, wapo kimya tuuu
Walimu wanaonewa na chama Cha walimu, Bado wako kimyaaa.
Nani kawarogeni?
QNET wana akili kuliko walimu wa Tanzania
Walimu wanaonewa na wakopeshaji wa riba a.k.a mikopo ya Maruhani.
Walimu wanaonewa na serikali, wapo kimya tuuu
Walimu wanaonewa na chama Cha walimu, Bado wako kimyaaa.
Nani kawarogeni?
QNET wana akili kuliko walimu wa Tanzania