kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Bila shaka wote humu ni wazima.
Na wale wenye changamoto za hapa na pale nizidi tu kuwaombea Kwa Allah awatatulie shida zao.
Moja Kwa moja niingie kwenye lengo la kuuliza swali langu hili ni Kama ifuatavyo.
Iko wazi kuwa Kila mtu anafurahia Kila anapofanya kitu ambacho anaona kiko sawa. Na mara nyingine haiwi aibu kujinadi Kwa watu kuwa yeye ni mtu wa namna gani. Mtu akila chakula kizuri haiwi aibu kwake Kama ataulizwa amekula nini ikawa hawezi kujibu wazi wazi.
Sio jambo la aibu Kwa mtu mswaliji kujibu narudi msikitini endapo ataulizwa ulikuwa wapi hali kadhalika wakristo nao watakujibu kuwa wanarudi kanisani bila aibu na Kwa furaha tele.
Iweje hawa walevi na wanywaji wanapenda kuvunga wanapoulizwa maswali inayoendana na taratibu na mazingira Yao Kwa muonekano wao wa nje?
Kwani ulevi kwao wao sio sehemu ya furaha?
Kwanini hawapendi kuambiwa kuwa wamelewa wakati kilabuni/bar wanaenda Kwa hiyari yao?
Kwani nyie walevi mnatuchukuliaje sisi tusiolewa katika jamii?
Naomba kuwasilisha swali langu Kwa masikitiko makubwa sana.
Ahsanteni...
Na wale wenye changamoto za hapa na pale nizidi tu kuwaombea Kwa Allah awatatulie shida zao.
Moja Kwa moja niingie kwenye lengo la kuuliza swali langu hili ni Kama ifuatavyo.
Iko wazi kuwa Kila mtu anafurahia Kila anapofanya kitu ambacho anaona kiko sawa. Na mara nyingine haiwi aibu kujinadi Kwa watu kuwa yeye ni mtu wa namna gani. Mtu akila chakula kizuri haiwi aibu kwake Kama ataulizwa amekula nini ikawa hawezi kujibu wazi wazi.
Sio jambo la aibu Kwa mtu mswaliji kujibu narudi msikitini endapo ataulizwa ulikuwa wapi hali kadhalika wakristo nao watakujibu kuwa wanarudi kanisani bila aibu na Kwa furaha tele.
Iweje hawa walevi na wanywaji wanapenda kuvunga wanapoulizwa maswali inayoendana na taratibu na mazingira Yao Kwa muonekano wao wa nje?
Kwani ulevi kwao wao sio sehemu ya furaha?
Kwanini hawapendi kuambiwa kuwa wamelewa wakati kilabuni/bar wanaenda Kwa hiyari yao?
Kwani nyie walevi mnatuchukuliaje sisi tusiolewa katika jamii?
Naomba kuwasilisha swali langu Kwa masikitiko makubwa sana.
Ahsanteni...