Habari wadau
Kuna swali najiuliza sana.. kuanzia kijijini kwetu wale wazee walevi sana wengi bado wapo hai kazi kusumbua tu vilabuni kwa makelele na wana miaka zaidi ya 70 kibao
Kuja mtaani dar pia . Wale vijana wa zamani wategemea nyumba za urithi wengi wao walevi walevi tu.. wao ni double kick na konyagi kila siku na wapo hai na wana afya teleee...
Pia kuna wazee mabaharia wa zamani wengine makuli wa zamani nao wengi walevi walevi tu hapa mjini ila nao wapo hai wanaishi na afya tele huku kila siku wanalewa tu
Nikija kwa watu naowajua mimi ambao ni makini, watu wa dini, wao kila siku nasikia vifo vyao tu.
Swali kwa nini walevi wanaishi sana?
Kuna swali najiuliza sana.. kuanzia kijijini kwetu wale wazee walevi sana wengi bado wapo hai kazi kusumbua tu vilabuni kwa makelele na wana miaka zaidi ya 70 kibao
Kuja mtaani dar pia . Wale vijana wa zamani wategemea nyumba za urithi wengi wao walevi walevi tu.. wao ni double kick na konyagi kila siku na wapo hai na wana afya teleee...
Pia kuna wazee mabaharia wa zamani wengine makuli wa zamani nao wengi walevi walevi tu hapa mjini ila nao wapo hai wanaishi na afya tele huku kila siku wanalewa tu
Nikija kwa watu naowajua mimi ambao ni makini, watu wa dini, wao kila siku nasikia vifo vyao tu.
Swali kwa nini walevi wanaishi sana?