Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,038
- 24,595
Upo sahihi kabisa. Nililenga kumtaja huyu Maua Daftari aliyekua naibu Waziri kwa miaka 10😀😀.Hakumfikia Dokta Maua Daftari
Shukrani kwa angalizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi kabisa. Nililenga kumtaja huyu Maua Daftari aliyekua naibu Waziri kwa miaka 10😀😀.Hakumfikia Dokta Maua Daftari
Nani huyo?Sinto shangaa, jirani yake tangu akiwa mtoto anasukuma guta leo hii.
Upo sahihi kabisa. Nililenga kumtaja huyu Maua Daftari aliyekua naibu Waziri kwa miaka 10.
Shukrani kwa angalizo
Hakumfikia Dokta Maua Daftari
Connection, pambio zao bado hazisikikiEnyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane Ikulu za Magogoni na Chamwino.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.
GentamycineKwa hiyo Poisonous Ndiye @Gentamycine?
Maana ID ya mtoa mada na Jina analojitaja ndani ya post yake vinasema hivyo.
Nakubali , ID Zote hizi Zina uandishi unaofananaGentamycine
Poisonous
Mzukulu
Mightier
All - rounder
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app