ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Kuna mtu jana au juzi alidokeza kwamba wakuu wengi wa wilaya na mikoa ni watu waliotoka JWTZ. Ila sijasikia wala kumuona mkuu wa mkoa au wilaya ambaye kitaaluma ni askari Polisi au Magereza, why?
Mwenye kujua ukweli huu anielewesha sababu wakuu, biafsi sijui wala kukukmbuka au kusikia kama ilishatokea askari polisi au magereza kuwa mkuu wa wilaya au magereza ktk nchi hii!
Mwenye kujua ukweli huu anielewesha sababu wakuu, biafsi sijui wala kukukmbuka au kusikia kama ilishatokea askari polisi au magereza kuwa mkuu wa wilaya au magereza ktk nchi hii!