Kwanini Wakulya Hadi Leo Wanapigana Vita?

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau wa JF

Kwa miaka mingi sana vyombo vya habari vimeripoti mapigano ya watu wa jamii ya wakurya. Mapigano hayo yameacha watu wakijeruhiwa,wakipoteza maisha na kuharibu mali nyingi.

Mapigano haya yanahusisha watu wa kabila moja tu la WAKURYA.Ukiwauliza baadhi yao wanadai tatizo ni ardhi lakini sio kweli pande hizo kiuhalisia hakuna tatizo la ardhi.Aidha kama tatizo ni ardhi kwanini jamii jirani hazipo kwenye mapigano k.m wajaluo,wajita,wasukuma n.kk. Mkoani Kilimanjaro lipo tatizo la ardhi mbona hatusikii mapigano ya aina hiyo baina ya Wachaga?

Kwa wenye ufahamu watujuze kwanini watu hawa wa Kabila Moja tu WAKURYA katika karne hii bado wanaingia katika mapigano wao kwa wao?
Karibuni.
 
Hata wamarekani wanapigana hadi Leo huko Pakistan na wako mbioni kupigana na kim
 
Si wajua baba yetu ni PETRO maana ujasiri ule wa kumtaka mtu sikio mbele ya YESU ni mkurya tu ndio anao.
Anyway ni kama mchaga na pesa...so kupigana ni Jadi yetu kuonyesha uanaume
 
Sio wakulya ni wakurya.

Wakurya ni kabila ambalo limegawanyika katika koo ndogo kama vile Watimbaru, wairege, Wanyamongo, wakira, waanchari, walenchoka (wagumbe), wakenye, wasweta, wamera, wanyabasi n.k.

Koo hizi zinapopakana huwa hasimu kutokana na migogoro ya mipaka ya ardhi mfano Wakira na waanchari, lakini pia wizi wa mifugo mfano wairege na wanyabasi vijana huenda koo nyingine na kuswaga mifugo hali ambayo hupelekea mapigano, kabila la wakurya limesambaaa mpaka Kenya hivyo ukiona koo fulani inapigana na nyingine na upande wa Kenya unakuwa hivyo hivyo, ingawaje mambo haya yamepungua na ni kama yanaisha. Lakini pia wakurya hupigana na makabila jirani kama vile Wamaasai na wajaluo.
 
Sio wakulya ni wakurya.

Wakurya ni kabila ambalo limegawanyika katika koo ndogo kama vile Watimbaru, wairege, Wanyamongo, wakira, waanchari, walenchoka (wagumbe), wakenye, wasweta, wamera, wanyabasi n.k.

Koo hizi zinapopakana huwa hasimu kutokana na migogoro ya mipaka ya ardhi mfano Wakira na waanchari, lakini pia wizi wa mifugo mfano wairege na wanyabasi vijana huenda koo nyingine na kuswaga mifugo hali ambayo hupelekea mapigano, kabila la wakurya limesambaaa mpaka Kenya hivyo ukiona koo fulani inapigana na nyingine na upande wa Kenya unakuwa hivyo hivyo, ingawaje mambo haya yamepungua na ni kama yanaisha. Lakini pia wakurya hupigana na makabila jirani kama vile Wamaasai na wajaluo.
Basi wao ni watu wanaopenda kupigana.
 
Tatizo ni kwamba sisi wakurya hatukuwekeza ktk elimu kama walivyo wachaga ambao nao wana koo nyingi.muda mwingi tuliwekeza kwenye ufugaji hali iliyopelekea kila mwanajamii kubuni ni njia ipi aitumie ili mifugo yake ishibe ikiwa ni pamoja na kuvamia na kuchungisha ngombe ktk mashamba ya watu.lakini pia koo hizi zimekuwa hasimu tangu miaka mingi iliyopita kutokana na kila koo ikitaka kuwa kubwa kiutawala kuliko koo nyingine.mfano koo ya wairegi ndio koo kubwa kuliko zote ikifuatiwa na watimbaru.kila koo inataka kujiweka juu ya nyingine.
Mpaka Leo hizi koo hazielewani.pia wazee wa mila wanajaribu kuweka nguvu kubwa ya uchawi wa kimila.
 
Kila kabila lina asili yenye nguvu kwao: kwa mfano;

wakurya= watu wa vita, uongozi na elimu vita.
Wajita=elimu na uvuvi.
wachaga=ubinafsi, biashara na elimu biashara.
waha=uchawi na biashara.
Wahaya=elimu zingine na elimu sheria(ila waoga sana hawafai kuishi mipakani, watusi na wahutu wanazamia huko kwao na kuwapiga mkwara kila siku)
wajaluo=elimu na ubinafsi.
Wasukuma=kilimo, uchawi na elimu kiasi(ila wana submissiveness character).
Wamasai=wapenda tamaduni zao, siyo wepesi wakubadilika pia wanasoma siku hizi.

Kurya people are Warlike people, hata serikali ifanyeje haiwezi kuwabadilisha asili yao.

Watakachoweza kufanya ni kuwasuluhisha na kuwapoza tu lakini wakurya ni watu wenye asili ya vita hata kama wamesoma sana na kuabudu lakini hawapendi kuonewa wala kuvumilia uonevu kwa mda mrefu.

Bila shaka nitakuwa nimekujibu.
 
Wadau wa JF
Kwa miaka mingi sana vyombo vya habari vimeripoti mapigano ya watu wa jamii ya wakurya. Mapigano hayo yameacha watu wakijeruhiwa,wakipoteza maisha na kuharibu mali nyingi.Mapigano haya yanahusisha watu wa kabila moja tu la WAKURYA.Ukiwauliza baadhi yao wanadai tatizo ni ardhi lakini sio kweli pande hizo kiuhalisia hakuna tatizo la ardhi.Aidha kama tatizo ni ardhi kwanini jamii jirani hazipo kwenye mapigano k.m wajaluo,wajita,wasukuma n.kk. Mkoani Kilimanjaro lipo tatizo la ardhi mbona hatusikii mapigano ya aina hiyo baina ya Wachaga?
Kwa wenye ufahamu watujuze kwanini watu hawa wa Kabila Moja tu WAKURYA katika karne hii bado wanaingia katika mapigano wao kwa wao?
Karibuni.
Mtu ushaambiwa kauli mbiu ni Vita ni Vita Mura, sasa unategemea nini pale ujikute mtu kati
 
Wadau wa JF

Kwa miaka mingi sana vyombo vya habari vimeripoti mapigano ya watu wa jamii ya wakurya. Mapigano hayo yameacha watu wakijeruhiwa,wakipoteza maisha na kuharibu mali nyingi.

Mapigano haya yanahusisha watu wa kabila moja tu la WAKURYA.Ukiwauliza baadhi yao wanadai tatizo ni ardhi lakini sio kweli pande hizo kiuhalisia hakuna tatizo la ardhi.Aidha kama tatizo ni ardhi kwanini jamii jirani hazipo kwenye mapigano k.m wajaluo,wajita,wasukuma n.kk. Mkoani Kilimanjaro lipo tatizo la ardhi mbona hatusikii mapigano ya aina hiyo baina ya Wachaga?

Kwa wenye ufahamu watujuze kwanini watu hawa wa Kabila Moja tu WAKURYA katika karne hii bado wanaingia katika mapigano wao kwa wao?
Karibuni.
JIBU NI MOJA TU KURYA NI MIONGON MWA MAKABILA UNCVLISED, UNCRUMCISED BELIVING IN PRIMITIVE WAYS OF WEALTH ACCUMULATION ie utumie ubabe ili uogopwe na kuharibu mali za wenzio. THEY BELIEVE NO OTHER WAYS OUT OF MAPGANO HELL TO THEM. NAMADEM ZAO BILA KIPGO HUJAMPENDA. Hahaaa kurya aisee tembeeni mbadilike.
 
JIBU NI MOJA TU KURYA NI MIONGON MWA MAKABILA UNCVLISED, UNCRUMCISED BELIVING IN PRIMITIVE WAYS OF WEALTH ACCUMULATION ie utumie ubabe ili uogopwe na kuharibu mali za wenzio. THEY BELIEVE NO OTHER WAYS OUT OF MAPGANO HELL TO THEM. NAMADEM ZAO BILA KIPGO HUJAMPENDA. Hahaaa kurya aisee tembeeni mbadilike.

wee murisya kama hii UNCRUMCISED yako una maanisha "CIRCUMCISED" ukome kabisa wakurya koo zoote ulizoambiwa hapo juu tuna tahiriwa kwa kisu tena bila ganzi so watch your language kenge wee! kwanza shule yenyewe hujaenda tafuta watani zako mambo yetu hayakuhusu nyambafu we!
 
JIBU NI MOJA TU KURYA NI MIONGON MWA MAKABILA UNCVLISED, UNCRUMCISED BELIVING IN PRIMITIVE WAYS OF WEALTH ACCUMULATION ie utumie ubabe ili uogopwe na kuharibu mali za wenzio. THEY BELIEVE NO OTHER WAYS OUT OF MAPGANO HELL TO THEM. NAMADEM ZAO BILA KIPGO HUJAMPENDA. Hahaaa kurya aisee tembeeni mbadilike.

wee murisya kama hii UNCRUMCISED yako una maanisha "UNCIRCUMCISED" ukome kabisa wakurya koo zoote ulizoambiwa hapo juu tuna tahiriwa kwa kisu tena bila ganzi so watch your language kenge wee! kwanza shule yenyewe hujaenda tafuta watani zako mambo yetu hayakuhusu nyambafu we!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom