Mkuu thread yako ni nzuri
kipengele cha dini kinakuwepo ktk allmost kila sensa ya nchi duniani, Tatizo la wakiristo hawataki watu wajue ukweli kuwa wao ni idadi chache hapa nchini kulingana na waislam, ukweli ukijulikana wanamini kabisa waislam watadai uwiano katika kila sehemu ya utendaji ambao wao wakiristo wamejazana
Chakujiuliza hapa je wataficha ukweli mpaka lini ????? ilihali dunia sasa imebadilika ????
Serikali imekataa takwimu ya wakatoliki na imekataa takwimu iliyofanya na chombo chengine chochote, Je ni Nchi gani hii isiyokuwa na takwimu ?????
Wakae wakijua kuficha ukweli sio kutibu,
kipengele cha dini kinakuwepo ktk allmost kila sensa ya nchi duniani, Tatizo la wakiristo hawataki watu wajue ukweli kuwa wao ni idadi chache hapa nchini kulingana na waislam, ukweli ukijulikana wanamini kabisa waislam watadai uwiano katika kila sehemu ya utendaji ambao wao wakiristo wamejazana
Chakujiuliza hapa je wataficha ukweli mpaka lini ????? ilihali dunia sasa imebadilika ????
Serikali imekataa takwimu ya wakatoliki na imekataa takwimu iliyofanya na chombo chengine chochote, Je ni Nchi gani hii isiyokuwa na takwimu ?????
Wakae wakijua kuficha ukweli sio kutibu,