Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Hii ni tofauti sn kwa Uganda,Burundi na Rwanda. Wakenya na Watanzania ni zaidi ya beef. Unaweza sema ni vita. Mitandaoni ni nadra sn kuona watu wa nchi hizi mbili wakiombeana mema. Ni mwenda wa kuchambana kutukanana na kuombeana majanga. Shida nini hasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app