Kwanini wakati wa mfungo wa Ramadhani biashara nyingi hudorora?

Akili zangu zipo timamu,labda km zako hazipo sawa kiasi cha kubishana na mtu asiye na akili timamu.Kwani kuna aina za Waislamu?.

Na hata km zipo wote kwao kitimoto si haramu?,lkn pia wote si wanapaswa kufunga ramadhani?,lkn pia ktk hao wote si wamo mabingwa wa kumtafuna huyu mdudu ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako unataka watu wote wamuabudu kiumbe(yesu)
 
Nimekurupuka wakuu naona sijui IDADI ya waumini waislamu na wakristo, mara kitimoto ,mara Biashara kudorora ? Mara siasa ? Kipi ni kipi nisije kwenda OP. MUONGOZO tafadhali.


NB: Kuna wingi na ubora (wingi haimaanishi ubora, na ubora sio wingi)

Quality and Quantity are different.


Kwangu ni kheri nikapata kilicho Bora (Quality).
 
Bhandugu,

Kama kichwa kinavyosema.

Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.

Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?

Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwasababu mwezi wa Ramadhani unao utukufu kwa Watu wa dini zote hivyo wale wote wanaokunywa Pombe nk (regardless of religion), huacha kufanya hivyo kwa heshima ya huo Mwezi, na ndio sababu ukaitwa "MWEZI MTUKUFU".

Maombi yangu ni kwamba; hali hiyo ya kuacha maovu katika mwezi huu iendelee pia katika miezi mingine ili jamii yetu (inayojengwa hususan na jamii za dini mbili) kwa ujumla ipate radhi za Mungu kwani Pombe, kula nyama ya nguruwe, uzinzi, uongo, wizi, ushirikina nk ni mambo yanayokatazwa katika vitabu vya dini zote mbili.
 
Bhandugu,

Kama kichwa kinavyosema.

Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.

Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?

Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
acha uchokozi:D:D
 
Back
Top Bottom