mundo
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 200
- 9
I agree with you the guy has got balls and he pushes forward his company...ila huyu bwana sio engineer. Ni fundi mchundo so siku nyingine usiidhalilishe fani.
Well, kama kuna kampuni local inayojiendesha vizuri sasa hivi na kazi zao ziko up to standards, SKOL contractors wako juu. Just making your own due dilligence mtaligundua hili. Tatizo linakuja moja tu....ataweza kumudu wazee wa cartel kama Estim and the rest ambao they can make big plans and implement them????
sawa nakubaliana na wewe ila nchi hii inaweza kuendeshwa na watu wenye Elimu kama hiyo na sivyo mnavyofikiria