mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari Wadau
Eti Kwanini wajumbe wa CCM wamekuwa Maarufu kushinda vyama vingine vya upinzan?
Kwanini uchaguz wa Kura za maon umekuwa Maarufu Sana?
Kwanini watu mbalimbali wakiwemo wa vyama pinzani wanawacheka Walio poteza Katika Kura za maon kua wamekosa Ubunge kitu ambacho kinacho fanya wengi Tuamin kua ukipita kwenye kura za maon Ccm Basi wewe tayariumesha kua mbunge
Kwanini uchaguzi wa CCM umekuwa makubwa Sana na Maarufu Mitaani na kwenye mitandao je ni kwa sababu CCM inakubalika? Au kwasababu ccm ndio chama chenye nguvu na ushawish Tanzania?
Kwanini inaonekana wazi wazi kua wote Walioonekana hawafai kugombea CCM Wana onekana wanafaa kugombea Upinzan?
Kwanini Watu wengi wamekimbilia kugombea CCM hata kama wanajua Kuna Wajumbe?
Eti Kwanini wajumbe wa CCM wamekuwa Maarufu kushinda vyama vingine vya upinzan?
Kwanini uchaguz wa Kura za maon umekuwa Maarufu Sana?
Kwanini watu mbalimbali wakiwemo wa vyama pinzani wanawacheka Walio poteza Katika Kura za maon kua wamekosa Ubunge kitu ambacho kinacho fanya wengi Tuamin kua ukipita kwenye kura za maon Ccm Basi wewe tayariumesha kua mbunge
Kwanini uchaguzi wa CCM umekuwa makubwa Sana na Maarufu Mitaani na kwenye mitandao je ni kwa sababu CCM inakubalika? Au kwasababu ccm ndio chama chenye nguvu na ushawish Tanzania?
Kwanini inaonekana wazi wazi kua wote Walioonekana hawafai kugombea CCM Wana onekana wanafaa kugombea Upinzan?
Kwanini Watu wengi wamekimbilia kugombea CCM hata kama wanajua Kuna Wajumbe?