JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Kichuguu, Mkandara, Nguruvi3, Mohammed Shossi,
..jamani hii mijadala ya DINI hamtofikia suluhu hata siku moja.
..unaweza kukuta mtu ni very objective and understanding, lakini linapoingia suala la dini tu anakuwa mtu tofauti kabisa-kabisa.
..binafsi sijui hii nchi inapoelekea ni wapi, lakini mijadala ya dini hapa JF inanipa wasiwasi sana na kinachoweza kutokea huko mitaani.
..baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda, sasa wenzetu wamepiga marufuku utaratibu wa kutaja makabila yao.
..tunachopaswa kufanya ni kuazimia kuishi pamoja kama WATANZANIA na masuala ya dini yawe ya mtu binafsi.
..jamani hii mijadala ya DINI hamtofikia suluhu hata siku moja.
..unaweza kukuta mtu ni very objective and understanding, lakini linapoingia suala la dini tu anakuwa mtu tofauti kabisa-kabisa.
..binafsi sijui hii nchi inapoelekea ni wapi, lakini mijadala ya dini hapa JF inanipa wasiwasi sana na kinachoweza kutokea huko mitaani.
..baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda, sasa wenzetu wamepiga marufuku utaratibu wa kutaja makabila yao.
..tunachopaswa kufanya ni kuazimia kuishi pamoja kama WATANZANIA na masuala ya dini yawe ya mtu binafsi.
Last edited by a moderator: