Kwanini waislam wanataka kipengele cha dini? Angalia udini bodi ya utalii

Status
Not open for further replies.
Ndugu katika Bwana unajua athari ya machafuko ya Kidini? Tuache huo uchochezi kabisa mwenye ambaye anajua nani anaingia kwenye ufalme wa milele ni yeye BWANA ALIYEHAI
Mbona mnakimbia hoja nyie!ss hapo uchochezi kauleta nani mkandara au bodi ya utalii?
 
Kumbe unajuwa kuwa Yesu ni Mungu. Unachekesha sana weye.
We uliona wapi Mungu anaendesha mikutano ya hadhara ? Biblia nzima inaelezea mikutano ya 'uamsho' aliokuwa akifanya Bwana Yesu ! Sasa Mungu ana hutubia Mkutano, we kituko kweli ! Mie simo kwenye huo upotofu !
 
kwa tuliopitia at least course moja ya statistics mtu akikuambia ABOUT ni kwamba hana uhakika na data zake. In other words anahisi tu iko hivyo.

established by Tanzania Tourist Board act, CAP 364 of 1962 and amended by act by Act No. 18 of 1992
 
kwa tuliopitia at least course moja ya statistics mtu akikuambia ABOUT ni kwamba hana uhakika na data zake. In other words anahisi tu iko hivyo.
There you are ! Unaonaje tukipata uhakika ili tuondokane na mambo ya kuguess !?
 
yaani huo mwezi wa nane tutaona mambo. Nusu ya waislam wanaoburuzwa na Bakwata ndio watashiriki sensa na tuliobaki hatuhesabiwi ng'o bila ya kipengele cha dini. Yaani serikali ijiandae kufeli kwenye hiyo sensa.
 
We uliona wapi Mungu anaendesha mikutano ya hadhara ? Biblia nzima inaelezea mikutano ya 'uamsho' aliokuwa akifanya Bwana Yesu ! Sasa Mungu ana hutubia Mkutano, we kituko kweli ! Mie simo kwenye huo upotofu !

Yap! Mungu alihutubia na kufundisha juu ya ufalme wa mbinguni na namna ya kuingia humo, yeye tu ndo anaqualification za kufundisha somo la mbinguni kwani alitoka huko na anaufahamu mzuri wa jinsi kulivyo, karne 6 au 7 hivi baada ya Mungu kuwafundisha wanadamu somo hilo la mbinguni na wakawa wamelielewa na kulikubali ghafla, alas!!!! Puuu!!!! kaibuka mungu mwingine yeye hafundishi japokuwa anakitabu chake, analazimishia watu wamkubali kwamba yeye ndo mungu babalao na wale wabishi watamkoma kwani tayari ana jibu la jambia kwa ubishi wao
 
Watu wenye "shari" ni wale waliyo muwamba Mungu Msalabani ! Kuna shari kubwa kushinda ya kumpiga na kumuua Mungu ???!?

Yap!! ni washari wala hawana heri wale walio muwamba Mungu msalabani, kwa maneno yake mwenyewe "ingelikuwa bora kwao kama wasingezaliwa" Lakini ni nao hao hasa wanaomwamba Mungu msalabani???? Kwa maneno yake mwenyewe alisema siku ya hukumu atawaambia wale wakorofi "nilipokuwa nina njaa hamkunipa chakula, nilipokuwa gerezani hamkuja kuniona, nilipo kuwa naenda kanisani nimebeba biblia mlinikashifu, nilipojenga kanisa mlilichoma moto, nilipokuwa naimba nyimbo za ibada mliipiga mawe nyumba yangu" Nao hao wakorofi watamjibu je ni lini sisi tulikuona umebeba biblia unaenda kanisani tutakukashifu, au kukuchomea kanisa lako, au kukutegeshea bomu kanisani kwako??? ndipo Bwana atakapo wajibu nyie mlio laaniwa ondokeni mkaingie ndani ya moto kwa maana hayo mliyo watendea hao walio wadogo mlinitendea mimi
 
Mazee mmeiharibu hii mada, so siwezi kufunguka sasa. Huyu jamaa mlanguzi japo kwa mantiki aliyojenga anaonekana ni "fanatic" na "fundamendalist" (aina ya watu ambao wametuchosha sana nchi hii) alianza vizuri sana mada yake (I mean scientifically) ingawa haionyeshi "authenticity" au "originality" ya mawazo yake ndo maana naamini ameyakuta tu somewhere akayanakili na akadhani ni hoja saaana. Bahati mbaya "thread" hii inakaribia kufa na bila shaka itafungwa soon. I wish ningeikuta mwanzoni kabla hii mipasho haijaanza.

Kukusaidia tu kidogo mkuu mlanguzi, ili uwe paratably scietific, when you talk with statistics then you have to be a little bit more smart. Your data is just 0.02% sufficient (ambazo bahati mbaya umezinakili tu bila kutafiti "authenticity" yake). Next time come back with the rest 99.98% data if you wanna talk some sense for thinkers.
 
Ndugu katika Bwana unajua athari ya machafuko ya Kidini? Tuache huo uchochezi kabisa mwenye ambaye anajua nani anaingia kwenye ufalme wa milele ni yeye BWANA ALIYEHAI
Mkuu wangu machafuko ya Kidini ni siasa mnazojaribu kuzieneza lakini sio kuhesabu watu. Unaweza kabisa kuhesabu ili tujue tuna wanaume wangapi, wanawake wangapi, vijana wangapi wazee wangapi na kadhalika pasipo kutazama tofauti zetu maana swala hapa sio kugawa haki kulingana na idadi zao.

Leo hi ukitazama takwimu zetu wanasema kuna vijana zaidi ya asilimia 50 chini ya Umri wa miaka 35, walizipata wapi takwimu hizi?..hatuna majibu wala hatuna uhakika tumebuni tu..Sasa tunapotaka kuwa na hesabu ya Watanzania, binafsi sioni tatizola kuwekwa kipengele cha dini, jinnsia au Kabila maana tunahesabiwa wote, na hata ikikutwa kuna Wakerewe 200,000 tu itanipunguzia ama kuniongezea kitu gani zaidi ya kujua tuko wangapi? Sensa ni kujua hesabu ya watu Watanzania wenye dini zao kwa hiyo sioni kabisa tatizo. Haya, tuseme najua wewe mkristu hii inanisaidia nini mimi ktk Udini?.
 
Tanzania Tourist Board is a government organization which was legally established by Tanzania Tourist Board act, CAP 364 of 1962 and amended by act by Act No. 18 of 1992

Board of Directors

Board of Directors:
Tanzania Tourist Board has the Board of Directors which is appointed after every three years. The Chairman of the Board is appointed by the President of the United Republic of Tanzania, and the Minister for Natural Resources and Tourism appoints directors.
Currently Board members are:

Ambassador Charles Sanga the new chairman of the Board of Directors of Tanzania Tourist Board. Other members are who together will serve for three years are Prof. Isaya Jairo of the Institute of Finance Management (IFM), Ms Teddy Mapunda, The Serengeti Breweries Public Relations Director, Hon Abdulkarim Shah, Member of Parliament for Mafia, Hon Kaika Telele, Member of Parliament for Ngorongoro and a tourism sector stakeholder, Mr. Samuel Diah




Religion



Christianity and Islam are the predominant religions of Tanzania. About 40-45% of the population practice Christianity, about 35-40% practice Islam. The rest of the population adhere to traditional beliefs, most of which centre around ancestor worship and nature-based animism. Most Christians live on the mainland, where missionary stations and schools reach deep into the continent. Islam is the major religion of the coastal areas but is also practiced further inland along the old caravan routes.

Religion plays a large part in the daily life of Tanzanians. In Christian areas, families attend church together dressed in their Sunday best. Church services always involve singing and the hymns often sung in complex harmonies spill out to the streets outside. Easter and Christmas are major events in Tanzania, with services and celebrations often extending far into the day and night. The lunar month of Ramadan is an important time for Muslims around the country, who fast from food and drink from sunrise to sunset. After Ramadan comes the Eid, a time of feasting and festivity for the whole community. Tanzania’s Asian religious minority includes Hindus, Sikhs, and Ismailis.





Religion » Tanzania Tourist Board

my take. huu mtandao unaonekana kote duniani. kumbe hata serekali inajua kwamba wakiristo na waislam kwa takwimu zao? Sasa tunapokataa kuhesabu kwa dini tunapinga nini?[/QU
ili iweje sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom