Wanaendekeza mambo ya ushoga si unajua pwani na mambo Yao!
Kwa asili waimbaji wa taarabu ni wakaazi wa mikuoa ya hukuwa Pwani. Ndiyo maana majina yao ni Mwanahawa, Mwanahela, Mwanahamisi na kadhalika. Watu wa Pwani sifa ya moja na kupenda kuonekana kuwa hali zao ni nzuri. Njia moja ya kuonekana kuwa una hali nzuri na kunenepa. Ukijazi ndiyo hata Wababa watakupenda maana utakuwa unavutia sana. Wanapenda kuonekana hali zao siyo mbaya!
Wanaendekeza mambo ya ushoga si unajua pwani na mambo Yao!
Taarabu imoooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!
Mbona huyu kutikavu mkuu?
Mchungaji bana....
Huyu mafegiiiii sana!!!!!!!!!!!