Ulipukaji wa mabomu katika kambi ya mbagala mwaka 2009 mwezi wa tano ulileta maafa hususani kwa wakaazi wa eneo hilo na viunga vyake,nyumba za wananchi zilibomoka kwa kupigwa na mabomu,zingine zilipata nyufa kubwa ambapo ni hatari kwa maisha ya wakazi hao,lakini cha kushangaza wale ambao hawajapata maafa makubwa wamelipwa hela nyingi za kuweza hata kununua kiwanja kingine na hata kujenga nyunba ingine nzuri kabisa ya kifahari,hapa kuna aina ya kaufisadi fulani kanakotembea kama kizungumkuti fulani.
nilijaribu kumhoji bwana fulani(jina lake tunaweka kapuni)alisema fedha alisema nyumba yake ni kubwa na ina hitilafu kubwa sana lakini kalipwa fedha kidogo sana kiasi hatakuweka mabati mapya ni tatizo,hata kubomoa nyuimba ili ajenge ipya pia hawezi kwa sababu hela aliyolipwani kama milioni moja hivi na elfu hamsini na sita wakati nyumba yake ilitakiwa alipwe kama milioni 15 ili aweze kufanya ukarabati sambamba na ujenziwa nyumba yake.
nilijaribu kumhoji bwana fulani(jina lake tunaweka kapuni)alisema fedha alisema nyumba yake ni kubwa na ina hitilafu kubwa sana lakini kalipwa fedha kidogo sana kiasi hatakuweka mabati mapya ni tatizo,hata kubomoa nyuimba ili ajenge ipya pia hawezi kwa sababu hela aliyolipwani kama milioni moja hivi na elfu hamsini na sita wakati nyumba yake ilitakiwa alipwe kama milioni 15 ili aweze kufanya ukarabati sambamba na ujenziwa nyumba yake.