Habari wadau,
Nimegundua wahadhiri wengi wa vyuo vyetu vikuu wapya kama udsm, udom, mzumbe etc hawaaandaliwi kwa kupewa elimu nzuri kama wazee wa zamani.
Ni kawaida sana siku hizi kukuta lecture cv yake imejaa local university tu kuanzia degree ya 1 mpaka Phd.
Huku ukicheki wahadhiri wazee Ma dr na ma prof waliosoma zamani unakuta top universities kwenye cv zao.
Mfano kina proff mkandala, proff mutahaba etc etc
Unakuta wamesomeshwa world class universities, vyuo kama stanford, university of california, university of illinois, cambridge, university of london,
Zile university ambazo kwenye ranking ya dunia zipo top 100 ndizo ma proff wetu wa zamani wamesoma.
Ila wahadhiri wa vyuo wapya wa sasa ni ngumu sana kumkuta mtu anasomeshwa chuo kikubwa mfano university of michigan, yale ama MIT
Kweli mwalimu wa chuo aliyesoma local university kuanzia cv mpaka u proff anaweza kweli kumfundisha mwanafunzi wa kisasa aweze kushindana kwenye soko la ajira ama kujiajiri? Mfano computer science prof aliyesoma bongo degree zote anaweza kumfundisha mwanafunzi kushindana na soko?
Nimegundua wahadhiri wengi wa vyuo vyetu vikuu wapya kama udsm, udom, mzumbe etc hawaaandaliwi kwa kupewa elimu nzuri kama wazee wa zamani.
Ni kawaida sana siku hizi kukuta lecture cv yake imejaa local university tu kuanzia degree ya 1 mpaka Phd.
Huku ukicheki wahadhiri wazee Ma dr na ma prof waliosoma zamani unakuta top universities kwenye cv zao.
Mfano kina proff mkandala, proff mutahaba etc etc
Unakuta wamesomeshwa world class universities, vyuo kama stanford, university of california, university of illinois, cambridge, university of london,
Zile university ambazo kwenye ranking ya dunia zipo top 100 ndizo ma proff wetu wa zamani wamesoma.
Ila wahadhiri wa vyuo wapya wa sasa ni ngumu sana kumkuta mtu anasomeshwa chuo kikubwa mfano university of michigan, yale ama MIT
Kweli mwalimu wa chuo aliyesoma local university kuanzia cv mpaka u proff anaweza kweli kumfundisha mwanafunzi wa kisasa aweze kushindana kwenye soko la ajira ama kujiajiri? Mfano computer science prof aliyesoma bongo degree zote anaweza kumfundisha mwanafunzi kushindana na soko?