Napenda kujua kwa nini staff wa TANESCO wananunua umeme ofisini?
Mimi nilikwenda pale TANESCO Ilala mkoani kuna dirisha la Teller ambapo Wafanyakazi wote wananunua umeme pale Jumatatu na Jumatano kama sijakosea
Hivi wao wanauziwa umeme bei gani? tofauti na wananchi ? Mwenye kujua anifahamishe
Mimi nilikwenda pale TANESCO Ilala mkoani kuna dirisha la Teller ambapo Wafanyakazi wote wananunua umeme pale Jumatatu na Jumatano kama sijakosea
Hivi wao wanauziwa umeme bei gani? tofauti na wananchi ? Mwenye kujua anifahamishe