Kwanini wafanyakazi wa serikali hawahamii kwenye nyumba walizojenga?

Nayashuhudia huku Iringa hayo, mzee ana miaka 30+ kazini ameshajipanga vizuri lakini kang'ang'ania nyumba ya umma na kibaya amegeuza kuwa stoo, halali Wala familia yake haipo mazingira haya. Watumishi wahitaji wapo wengi, ndio maana huwa tunalogana ni Ubinafsi wa juu sana. Kwa mara ya kwanza nimewaza kuloga mtu!
Fact
 
hutakiwi kuingilia maisha ya watu kama kajenga ni kwa ratiba zakw na bajet zake, na ww jenga kwa ratiba zako na bejt zako, anyestahili kuhama kwenye nyumba ya serikali mtumishi analiyehama au aliyestaafu, sasa kama bado ni mtumishi kumlazimish ahame ww ndo utakuwa na matatizo, kwanza kuchunguza kam mtu amejenga au hajajenga ni umbea, we fuata yako kama zimejaa kapange nje,
Ndugu kwenye mazungumzo huyo mdau ndio akajisema kwamba amesha jenga nyumba mimi sijamchunguza
 
Ramani za mzungu tamu sana.yaani ukienda kwa wachora ramani wa TZ wanasifia paa na makorokocho lakini.hamna kitu.
 
Ndugu kwenye mazungumzo huyo mdau ndio akajisema kwamba amesha jenga nyumba mimi sijamchunguza
cha muhimu mbane mwajiri wako ajenge nyumba kulingana na watumishi wake au la awekr mpango maalum wak uqccomodate watumishi wake kams ni kutoa housing allowance basi!
 
cha muhimu mbane mwajiri wako ajenge nyumba kulingana na watumishi wake au la awekr mpango maalum wak uqccomodate watumishi wake kams ni kutoa housing allowance basi!
Hili Ndio Suluhisho, Sio Kumuondoa Mtumishi hali ya kuwa bado Yupo Kazini
 
Unakuta mfanyakazi anahitaji nyumba ya kukaa ni mgeni kabisaa lakini utakuta aliyemtangulia kazini ameshajenga nyumba lakini haiachii.

Huu ni ubinafsi wa hali ya juu, kiungwana mpishe mwenzio hamia nyumba yako.
Tuache unafiki hata ungekuwa ni wewe,umepewa nyumba ya Serikali,harafu umejenga ya kwako,lazima ya kwako utapangisha Ili upige pesa huku wewe na familia yako mkiendelea kujamba mishuzi kwenye nyumba ya Serikali,ni Swala la opotunity tu.fulsa.
 
Kwa nini serikali ilifuta allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme kwenye mishahara ya watumishi wake, hii inaonyesha jinsi serikali ilivyofanya hili kwa makusudi kubana maslahi ya watumishi..........maana mshahara wa laki tatu ukiondoa allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme sioni kama kitabaki kitu hapo. Kama serikali inawalalia watumishi wake, iweje wawe na ujasiri wa kuwakaripia waajiri binafsi kuhusu kuwalipa wafanyakazi wao mishahara midogo........hizi ndo ajenda vyama vya upinzani vinatakiwa kuongea ili kuendelea kuaminika kwa wananchi....​
 
Kwa nini serikali ilifuta allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme kwenye mishahara ya watumishi wake, hii inaonyesha jinsi serikali ilivyofanya hili kwa makusudi kubana maslahi ya watumishi..........maana mshahara wa laki tatu ukiondoa allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme sioni kama kitabaki kitu hapo. Kama serikali inawalalia watumishi wake, iweje wawe na ujasiri wa kuwakaripia waajiri binafsi kuhusu kuwalipa wafanyakazi wao mishahara midogo........hizi ndo ajenda vyama vya upinzani vinatakiwa kuongea ili kuendelea kuaminika kwa wananchi....​
Polisi na Wanajeshi wanapewa hizo allowances
 
Kuruti anakaa jeshini/kambini miaka 6 yote anafanya nini?
Au ulimaanisha Askari wapya?
Kuwe na mpango maalum kama jeshini ukiwa kuruti unakaa kambini kwa miaka 6 ,ukishafikisha miaka 6 ruksa kwenda uswahilini....na waweke kwa watumishi wanaokaa kotaz mwisho miaka 10 tu.
 
Kwa nini serikali ilifuta allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme kwenye mishahara ya watumishi wake, hii inaonyesha jinsi serikali ilivyofanya hili kwa makusudi kubana maslahi ya watumishi..........maana mshahara wa laki tatu ukiondoa allowance za nyumba, usafiri, maji, umeme sioni kama kitabaki kitu hapo. Kama serikali inawalalia watumishi wake, iweje wawe na ujasiri wa kuwakaripia waajiri binafsi kuhusu kuwalipa wafanyakazi wao mishahara midogo........hizi ndo ajenda vyama vya upinzani vinatakiwa kuongea ili kuendelea kuaminika kwa wananchi....​
Samahani naomba uniongezee akili.
Hivi hizi allowance za nyumba wanazolipwa watumishi kwenye baadhi ya MASHIRIKA YA UMMA zamani zilikuwa zikilipwa kwa watumishi wote?
Kuanzia mwaka gani zilifutwa?
 
Nyumba mtu aliyojijengea ni yake na haimhusu mwajiri wala mwajiriwa mwingine. Si sawa kumtaka aachie stahili yake ya nyumba alikoajiriwa.
 
Samahani naomba uniongezee akili.
Hivi hizi allowance za nyumba wanazolipwa watumishi kwenye baadhi ya MASHIRIKA YA UMMA zamani zilikuwa zikilipwa kwa watumishi wote?
Kuanzia mwaka gani zilifutwa?
Kwa kuwa haya mambo yaliigwa kwa wazungu, hilo swala la kulipa mishahara plus allowance lazima lilikuwepo.....siyo kwa mashirika ya umma peke yake na kwa maofisa wa ngazi za juu, bali kwa wafanyakazi wote.
 
Ndugu kwenye mazungumzo huyo mdau ndio akajisema kwamba amesha jenga nyumba mimi sijamchunguza
Hata hivyo kwenye kazi yeyote, kuna utaratibu wa kupewa nyumba ya serikali, na namna za kuziachia.
Hivyo nyumba yake binafsi ni yake, Serikali haiwezi kumlazimisha akaishi huko.
 
...
Tatu, uchoyo tu na roho mbaya ya mwanadamu, halafu nne na mwisho na wewe mgeni si umepewa hela ya kujikimu?
Mkuu shangaa hawa hapa.

Asilimia kubwa ya waliokuwa wanaishi Magomeni kota wana mijengo yao na hata baada ya kuvunjwa wengi walijenga hata kina sisi tulikuwa na nyumba maeneo tofauti.l hapo jijini.

Ila hapo hapo wenye mijengo yao ndiyo wanaongoza kushupaza shingo kupewa apartment waishi bure kwa sasa.

Tatizo la mwafrika ni roho mbaya na ubinafsi kutotaka wengine wafanikiwe.
 
Back
Top Bottom