Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Watu wengi wanatamani sana kuagiza bidhaa mtandaoni kutoka Dar sababu bidhaa nyingi ni bei rahisi tofauti na mikoani lakini tatizo linakuja kwa wakazi wenyewe wa Dar wengi sio waaminifu.
Wanunuzi wengi wamekutana na kasumba hii ya kutapeliwa mitandaoni ikiwepo na mimi pia nilishawahi kupigwa nilimpa kazi IT anifanyie mwisho wa siku akapotea mazima, hivyo imefika mahali wengi wamekuwa hawana moyo tena kutaka kuagiza bidhaa wala huduma kupitia mtandaoni.
Wanunuzi wengi wamekutana na kasumba hii ya kutapeliwa mitandaoni ikiwepo na mimi pia nilishawahi kupigwa nilimpa kazi IT anifanyie mwisho wa siku akapotea mazima, hivyo imefika mahali wengi wamekuwa hawana moyo tena kutaka kuagiza bidhaa wala huduma kupitia mtandaoni.