johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,873
- 141,805
Binafsi siamini kama mwezi huu wa Ramadan ndio sababu ya sukari kuhadimika madukani au kufichwa kama inavyodaiwa.
Zimepita Ramadan nyingi tu hatujaona sukari ikiadimika kwanini iwe mwaka huu. Ilifika wakati Bara ilizuia sukari kutoka Zanzibar kwa sababu bara ilikuwa na Supply kubwa ya sukari..... na siyo zamani ni juzi tu.
Inawezekana kabisa Ramadan ikapita na uhaba wa sugar ukaendelea hivyo ni bora waziri wa Biashara mh Bashungwa akatueleza shida hasa ni nini?!
Maendeleo hayana vyama!
Zimepita Ramadan nyingi tu hatujaona sukari ikiadimika kwanini iwe mwaka huu. Ilifika wakati Bara ilizuia sukari kutoka Zanzibar kwa sababu bara ilikuwa na Supply kubwa ya sukari..... na siyo zamani ni juzi tu.
Inawezekana kabisa Ramadan ikapita na uhaba wa sugar ukaendelea hivyo ni bora waziri wa Biashara mh Bashungwa akatueleza shida hasa ni nini?!
Maendeleo hayana vyama!