We mwanaume wengi wazamani wametesa sana mama zetu .. Sidhani kama kulikuwa na good treatment domo aamue tu kumtosa Mzee wake haipo hiyo..Unauhakika kuwa alimtesa? mambo ya ndani kama huyajui we kaa kimya tu ni siri nzito. Wanaume wengi wanakifua cha kutunza siri huoni wakiwajaza sumu watoto wao.
Usimnyonge ile kupiga kelele ya kutaka Huduma peke yake inamtosha,Umtie mtoto wa watu mimba, anakuja kukuambia Juma nina mimba yako! wewe unamjibu ati nini? sikiliza we malaya potea hapa nisikuone la sivyo! nitakuua.
Mtoto wa watu anaondoka huku mchozi yanamdondoka anahangaika mwenyewe anazaa na kukalea katoto mpka kanakua. hata buku la matumizi hutoi, na mtoto unamkataa kuwa si wako.
Sasa mama anamehangaika nae amekua na mambo yake yamekuwa super ndo unaleta pua yako *****.... km ndo mimi nakuua tena kwa kukunyonga hadharani
Hapa napo panahutaji DNA. Huenda si baba ....Mama ndio ndugu yangu...na domo akikumbuka alivyohustle na maza ake kwenye umamantilie dingi kaingia mitini afu saa hivi good time imekuja ndo anajifanya anataka kushow love..domo mpe makavu utatubu baadae na utasamehewa tu na Mungu mwenye hukumu ya haki.
Mom alionyesha unconditional love..its your time to show unconditional love...and whenever she smile that's blesssing.
Respect mama.
Muulize kasahau nini?Safi sana. Sitasahau baba mwanangu alivyonitia mimba na kunikimbia. Aliniambia kaitoe nina mwanamke wangu nataka kumuona, we hukujua utapata mimba? Nilipambana nikalea nikasomesha sasa yuko UK for masters maisha safi. Jamaa kajileta anataka mwanae amuombe msamaha! Ni mengi nashindwa kusimulia. Ila mwanangu ameajiriwa NGO ya kimataifa salary nono na benefit nyingine. Ana fiancee wanapendana soonest wataoana. Baba anataka atambuliwe sasa.
Habari za kuamka mkuuhuyu diamond lazima atakuwa amelaaniwa na wazazi wake.
Hanyanyaswi MTU hapa ukweli tu anaambiwa. Usiombe kutelekezewa watoto wakiwa wadogo huku mwenzio akitunza wengine. Halafu ajira huna!
kwani umesikia hamuheshimu?Baba ni Babatu, hata kama Alikukataa ni Baba yako na Vitabu Vya Dini Vimetuhasa Kuwaheshimu hata kama wamekukosea. Kwetu wa Kristo tumeambiwa tusamehe 7x70 kwetu hakuna Jino kwa Jino.
Ndugu Naseebu Msamehe Baba yako, na umtunze, maana huyo ni Baba yakotu, Hapo ulipo hata yeye amehusika kwa kukuleta duniani, wacha Dhana za jino kwa jino, maana hata torati ya Mussa inasema Muheshimu Baba yako,.
Yaani unatia mimba then unasea!...hujui anakula nini,atasoma vp!..wa hivyo Ni baba wa ajabu na anastahili anayotendewa!
Na wewe naye, ni kama unataka baba yao hasipewe muda wa kula bata na watoto wake... Muache tu D na mkewe na maisha yao.
Na wewe naye, ni kama unataka baba yao hasipewe muda wa kula bata na watoto wake... Muache tu D na mkewe na maisha yao.
Baba yao yupo na yeye atawapeleka kwa wakati wake. kama hana chapaa kutwa nzima ashinde Instagram kwenye page ya Zarimond teh teh.......Huu sio utamaduni wetu.
Mpaka baba mtu kaamua kuwapeleka angalau Ibiza wakapate hata kapiza. Diamond hivyo sio tulivyokulea. umependa boga, penda na maua yake. Ungekuwa wewe ndo mmoja kati ya wale watoto ungejiskiaje kuona mama amekuwa manipulated kuandamana batani na kubeba katoto kamoja tu ka nje?
Mama mtu nae haulizi wajukuu wako wapi, wanaendeleje, anafakamia Wine tu. Aaah kweli Tandale to Sweden, hii route imeniacha hoi.
Wewe Ni KE au ME?Huu sio utamaduni wetu.
Mpaka baba mtu kaamua kuwapeleka angalau Ibiza wakapate hata kapiza. Diamond hivyo sio tulivyokulea. umependa boga, penda na maua yake. Ungekuwa wewe ndo mmoja kati ya wale watoto ungejiskiaje kuona mama amekuwa manipulated kuandamana batani na kubeba katoto kamoja tu ka nje?
Mama mtu nae haulizi wajukuu wako wapi, wanaendeleje, anafakamia Wine tu. Aaah kweli Tandale to Sweden, hii route imeniacha hoi.