The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Wanaume wa Dar bwana!!!
Alafu awe teak kiba...yani ni minyooo mitupu.Wanaume wa Dar bwana!!!
Safi sana. Sitasahau baba mwanangu alivyonitia mimba na kunikimbia. Aliniambia kaitoe nina mwanamke wangu nataka kumuoa, we hukujua utapata mimba? Nilipambana nikalea nikasomesha sasa yuko UK for masters maisha safi. Jamaa kajileta anataka mwanae amuombe msamaha! Ni mengi nashindwa kusimulia. Ila mwanangu ameajiriwa NGO ya kimataifa salary nono na benefit nyingine. Ana fiancee wanapendana soonest wataoana. Baba anataka atambuliwe sasa.Ndio akome hii ni dedication kwa mababa wote jina waliojua kuweka mimba tu kisha kukimbia mtt na mamake!yaani mi nafurahi sn diamond anavyomshit babake ni km babake alivyowashit mond na mamake enzi hizo.ndio akome akome akome
Unafikiri kuwa Baba Ni kuchomekea kibamia chako mahali halafu unakimbia bila kujali wala kumwandalia huyo mtt maisha yake ya baadae. Hao mnaopiga domo jiulizeni Ni nn yy kamsaidia huyo mtt mpaka hapo alipofika???eti mwana imeakaaje hapa unaenda kula bata za mamilioni kwa obama wakati huku nyuma umemuacha mshua anapiga miayo ya njaa?
Kuwa baba ni majukumu hata biblia inasema utakula kwa jasho,unatia mimba unakimbia majukumu,mzee boya kweli anajizalilisha tuUnafikiri kuwa Baba Ni kuchomekea kibamia chako mahali halafu unakimbia bila kujali wala kumwandalia huyo mtt maisha yake ya baadae. Hao mnaopiga domo jiulizeni Ni nn yy kamsaidia huyo mtt mpaka hapo alipofika???
Mtu kukuzaa siyo sababu ya ww kubeba ujinga wake, huyo Baba keanza Ni kijana sana, badala ya kukaa kupiga domo saa zote kama mwanamke au shoga anyanyue jembe akalime
Yaani hyo ndio fundisho kwa mababa wote hewa yaani hadi raha na hapo hakuna cha kumsamehe wala nini yaani tena ndio unamuombea maisha magumu hadi atembee peku uyo Baba mwehuSafi sana. Sitasahau baba mwanangu alivyonitia mimba na kunikimbia. Aliniambia kaitoe nina mwanamke wangu nataka kumuona, we hukujua utapata mimba? Nilipambana nikalea nikasomesha sasa yuko UK for masters maisha safi. Jamaa kajileta anataka mwanae amuombe msamaha! Ni mengi nashindwa kusimulia. Ila mwanangu ameajiriwa NGO ya kimataifa salary nono na benefit nyingine. Ana fiancee wanapendana soonest wataoana. Baba anataka atambuliwe sasa.
huyu diamond lazima atakuwa amelaaniwa na wazazi wake.eti mwana imeakaaje hapa unaenda kula bata za mamilioni kwa obama wakati huku nyuma umemuacha mshua anapiga miayo ya njaa?
Atafute zake, si mlemavu, si mzee si mgonjwa. Where was he when Baba Tiffah needed him most?huyu diamond lazima atakuwa amelaaniwa na wazazi wake.
Mzee yule anaumwa acheni kumnyanyasa.Atafute zake, si mlemavu, si mzee si mgonjwa. Where was he when Baba Tiffah needed him most?
Utawatambua kwa comments zaoBado hujaijua damu wewe.
huyu diamond lazima atakuwa amelaaniwa na wazazi wake.