RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Nna rafik yangu analalamika kila siku, kampiga pind demu wake toka yupo o level, kafaulu na sasa yupo 1st year hapo Ardhi, hamtak tena jamaa, anadai alimkubal kwa kumuonea huruma, jamaa analalamika kwamba huruma yake imezidi
inabidi apige moyo konde! Ingawa si virahisi kusahau maana wanaume ndo 2livyo huwez kusahau ki2 kikubwa kama hicho mpaka kufa! Ila hutakuw unakiwaza sana....... Mwambie rafiki yako ampotezee, Mungu ni mkubwa msaada aliompa hata MUNGU anajua, malipo yatakuja baadae na huyo dada atajuta sana kumwacha rafiki yako na kumwona hafai... Kama ye ni mtu wa dini amsamehe kwa kitendo hicho na AMWACHIE MUNGU SASA AFANYE KAZI YAKE.