Kwanini wadada wengi hupenda kuolewa na wanaume wenye miaka 30+, kuna nini nyuma ya pazia?

Markomx

JF-Expert Member
Apr 23, 2016
701
699
Wakuu,

Ni ukweli usiopingika kua kwenye swala la ndoa wadada wengi hupenda kuolewa na wanaume wenye umri mkubwa mara nyingi kuanzia mwanaume mwenye 30+ adi 45.

Wanaume/wavulana wenye umri mara nyingi kati ya 20-25 anaweza kua kwenye uhusiano na mdada hata miaka mi 5 mfululizo na wameahidiana kuoana lakini utashangaa anaolewa na mshikaji mwingine mwenye kaumri kakubwa kidogo hata kama wamejuana mwezi mmoja.

Ninamfano mdogo tu,kunarafiki yangu anamiaka 25, alimaliza chuo mwaka jana hivi sasa anasubiri ajira za Rais Magufuli, japo kupata ajira ni lazma, amekua kwenye mahusiano na mdada mmoja tangu 2011 lakini jamaa kaachiwa manyoya hivi hivi mwezi huu coz yule mdada kapata mshikaji mwingine anamiaka 34 hivi na sasa taratibu za harusi zinafanyika.

Hii inadhihirisha wadada wengi wa miaka hii wanapenda kuolewa na wanaume wenye umri above 30.

Kwanini wadada wengi wanapenda kuolewa na washkaji wa umri huu?

Fanya uchunguzi utaona.

Mabibi na mabwana naomba kuwasilisha.
 
Marriage has to do with economy of someone. Maisha ya jamii zetu wanawake walikuwa na bado ni watu wa kuhudumiwa.

Mentality ya kuanza down na mwanamke haipo. Vijana kuanzia 30 wameshajijenga.

Ndiyo maana wakaanzisha msemo. Kama ni kutafuta ningetafuta na baba yangu pia ni mwanamme kwako nimekuja kutunzwa
 
Wanawake wengi Mara nyingi wanapenda kitonga wakute kila kitu wao waendelee kupata Huduma tu na si vinginevyo sasa kwa mfumo huu ndio mambo yanapokua magumu.

Wengi wanasomeana ramani na ndio maana mtu akichukua kamkopo akachukua usafiri na kapanga self utasikia kademu kanaanza kung'ang'ania ndoa.
 
wakuu

Ni ukweli usiopingika kua kwenye swala la ndoa wadada wengi hupenda kuolewa na wanaume wenye umri mkubwa mara nyingi kuanzia mwanaume mwenye 30+ adi 45

wanaume/wavulana wenye umri mara nyingi kati ya 20-25 anaweza kua kwenye uhusiano na mdada hata miaka mi 5 mfululizo na wameahidiana kuoana lakini utashangaa anaolewa na mshikaji mwingine mwenye kaumri kakubwa kidogo hata kama wamejuana mwezi mmoja

Ninamfano mdogo tu,kunarafiki yangu anamiaka 25 ,alimaliza chuo mwaka jana hivi sasa anasubiri ajira za magufuli ,japo kupata ajira ni lazma,amekua kwenye mahusiano na mdada mmoja tangu 2011 lakini jamaa kaachiwa manyoya hivi hivi mwezi huu coz yule mdada kapata mshikaji mwingine anamiaka 34 hivi na sasa taratibu za harusi zinafanyika,

hii inadhihirisha wadada wengi wa miaka hii wanapenda kuolewa na wanaume wenye umri above 30

kwanini wadada wengi wanapenda kuolewa na washkaji wa umri huu?

fanya uchunguzi utaona

mabibi na mabwana naomba kuwasilisha
Dogo ni uchumi ndo unaongea...wenzio saizi wanawake wanatugombea mpaka kufanya maamuzi inakuwa ngumu, kutambua nani yuko real na nano fake ni kazi!!
 
Dogo ni uchumi ndo unaongea...wenzio saizi wanawake wanatugombea mpaka kufanya maamuzi inakuwa ngumu, kutambua nani yuko real na nano fake ni kazi!!

mkuu, kunawengine wanamaisha flesh na miaka yao utakuta miaka 22,23,24 lakini wapo vizur kiuchumi

lakini cha kushangaza wanaendelea kusindikiza meri kama kawaida,
hiyo nayo imekaaje?
 
Wanaume wachache sana wenye below 28 wana akili yaani vipaumbele vyao ni vya kufikirika japo ukawapia wameleta wimbi kubwa la vijana wasiojielewa kila kitu kulialia tu

Sasa madam kwann msiwaelezage ukweli mnapokua kwenye mahusiano na wanaume chin ya 28 kua upo nae part time tu,no marriage @ all
 
Miaka hiyo akili imekomaa inafocus mbele kuliko 20's mawazo yake ni kula ujana na wanadai wanavunja mifupa wakati nguvu wanazo.
Siamini kama ni kukomaa akili.

Economic stability ya mlengwa ndilo kubwa. Kuna watu hawajakomaa kiakili wapo 20's ila uchumi upo. Japo sikatai suala la (outliers).

Utaishi na aliyekomaa akili halafu hana kitu sio biashara wqala kazi? Ili hali kuna kijana wa 26 anakazi au biashara nzuri ?
 
Kwa sababu wanadhani kuwa wanaume ambao wako kwenye rika hilo wana kipato cha uhakika, wamekomaa kiakili na wenye malengo chanya katika maisha, wana ni dhati ya kuoa na hawana mambo ya kitoto kama vijana ambao wako rika la chini.
 
mkuu, kunawengine wanamaisha flesh na miaka yao utakuta miaka 22,23,24 lakini wapo vizur kiuchumi

lakini cha kushangaza wanaendelea kusindikiza meri kama kawaida,
hiyo nayo imekaaje?
Kijana wa age hiyo ni ngumu kuoa sababu bado anajfunza mambo mengi ya maisha pia bado anakula ujana, pia kufanya maamuzi yalio sahihi wakati mwingine ni tatizo, Nyani Mzee? ........ haya kazi kwako.
 
Siamini kama ni kukomaa akili.

Economic stability ya mlengwa ndilo kubwa. Kuna watu hawajakomaa kiakili wapo 20's ila uchumi upo. Japo sikatai suala la (outliers).

Utaishi na aliyekomaa akili halafu hana kitu sio biashara wqala kazi? Ili hali kuna kijana wa 26 anakazi au biashara nzuri ?
Ana weza kuwa uchumi yuko stable but mindset yake lazima atabehave tofauti na yule wa 30's huo ni mtazamo wangu.
By the way shemeji wewe uko wapi kati ya hapo?
 
Ana weza kuwa uchumi yuko stable but mindset yake lazima atabehave tofauti na yule wa 30's huo ni mtazamo wangu.
By the way shemeji wewe uko wapi kati ya hapo?
Bila shaka naamini umeongelea wenye uchumi unaoendana eeeh..
Ila ke yupo na boi wawili wa 26 ana maisha mazuri. Wa 38 choka mbaya ila kakomaa kiakili. Walai ni 2% watamfuta wa 38.

Kuna kamsemo Kenu bora uteseke masaki. Kuliko ujitie mvumilivu manzese.
 
Back
Top Bottom