Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Leo hapa tumelivuruga! Kuna mdada tulimhisi kuwa anatoka na bosi (bosi ni 50s while binti ni 20s). Sasa huyu dada full kuchelewa na kazi anafanya akijisikia. Leo tumeamua kumwambia anatukwaza! Wee moto umewaka! Kumbe kabinti kashazaa kabisa na kubwa la maadui!
Sasa hapa line manager wetu kapewa woningi leta eti kwa kosa la kutowajibika vizuri ofini na some of us tupo kwa uchunguzi.
Sasa mdada ndo kawa wa moto Sasa!
Ushauri: wadada mnaozaa na mabosi kuweni watulivu, mnaumiza hata nyasi zisizohusika!
Sasa hapa line manager wetu kapewa woningi leta eti kwa kosa la kutowajibika vizuri ofini na some of us tupo kwa uchunguzi.
Sasa mdada ndo kawa wa moto Sasa!
Ushauri: wadada mnaozaa na mabosi kuweni watulivu, mnaumiza hata nyasi zisizohusika!