Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,664
Ngoja nimharibu dogokhaaaah
Ngoja nimharibu dogokhaaaah
Wanawake hudanganywa kwa njia moja kila siku na wanaume wengi tunatumia njia hii kuwadanganya naweza nikavumilia hata miezi mitatu ilimradi tuu nipate mbususu na kishipata basi....
Wanawake wanavipimo vya ajabu ajabu kuhusu upendo...yani wakiona mwanaume aombi mbususu wanaona anafaa kumbe wasichojua kuwa ana vumilia tuu..mwanaume hawezi kuwa kwenye mahusiano na mtu akae mwezi hajaomba mbususu..akiona utamsumbua anacunga uvumilivu ili apate mbususu
Ngoja nimharibu dogo
Ukiona anakuzungusha ujue kuna bingwa au hana muda mrefu ametoka kuliwa na anataka ipoe kidogo.Tafuta hela acha mipango ya kufikiria hao watu kwa sasa utakufa kabla hujafika 40s
Ahsantee 🤗Kwa kifupi..hawatabiriki....