Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
nafikiri wanbase zaidi kwenye ethical issues. hiyo ya kusomana huku mkifanya uasherati without any guarantee of ending in legitimate mariage nafikiri siyo ethical kiasi cha kutosha. so kwa mimi mdada kama huyo nitamshauri asome signature yangu na kujizuia na kila mtego wa uasherati