GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Yaani nyie Mashemeji zangu Wachagga pamoja na Ujanja wenu wote lakini mkiwa mnafika tu maeneo ya Korogwe huwa ‘ mnatekwa ‘ Kirahisi mno hasa pale mkiwa mnasafirisha Maiti kwenda Kuzika Kwenu hadi mnatia Huruma kwani huwa ‘ mnaparuriwa / mnakombwa ‘ kila Kitu na wengi wenu mnasafiri na Boksa tu hadi Kijijini Kwenu.
Kwani ni lazima muwe mnasafirisha Maiti zenu hizo Usiku nyie Shemeji zangu? Na hii tabia yenu ya Kupenda Kupaki pale Chalinze na Kunywa Pombe ndiyo huwa inawaponzeni kabisa hadi mnawapa urahisi ‘ Watekaji ‘ wenu huko njiani kuwafundisheni Adabu kisha mkirejea Dar es Salaam mnaanza tena upya.
Halafu mlivyokatika Mishipa ya Aibu yaani mkipaki pale Chalinze mnakunywa ‘ Mipombe ‘ yenu huku Maiti ikiwa tu ndani ya Gari inawasubirini nyie tu na hata mkiingia ndani ya Magari yenu hayo bado tena mnaanza Kuipigia Kelele na Pombe zenu hizo zilizowaingia vyema Vichwani mwenu na wengine hata mkiitapikia vile vile. Watekaji huwa wanawapatieni kweli kweli ‘ Mashemeji ‘ zangu nyie.
Kwani mkiianza safari Asubuhi hamfiki Moshi haraka hadi muwe mnalazimisha Kusafiri Usiku kwa Usiku tu? Na mnachonishangaza ‘ Mashemeji ‘ zangu nyie pale mkisimamishwa tu na ‘ Watekaji ‘ wenu kwa jinsi mlivyo Waoga wenyewe huwa mnaanza Kuwakabidhi Vitu vyenu vya Thamani japo wengine huwa mnameza Mabunda yenu ya Fedha na mkifika Moshi huwa mnayatoa kwa njia za ‘ Kiujasiri ‘ zaidi na kiasi cha Kupelekea hadi Noti zingine kuonekana zimechakaa na zinatoa harufu siyo Rafiki kwa Mwanadamu.
Alamsiki Mashemeji zangu Wachagga.
Kwani ni lazima muwe mnasafirisha Maiti zenu hizo Usiku nyie Shemeji zangu? Na hii tabia yenu ya Kupenda Kupaki pale Chalinze na Kunywa Pombe ndiyo huwa inawaponzeni kabisa hadi mnawapa urahisi ‘ Watekaji ‘ wenu huko njiani kuwafundisheni Adabu kisha mkirejea Dar es Salaam mnaanza tena upya.
Halafu mlivyokatika Mishipa ya Aibu yaani mkipaki pale Chalinze mnakunywa ‘ Mipombe ‘ yenu huku Maiti ikiwa tu ndani ya Gari inawasubirini nyie tu na hata mkiingia ndani ya Magari yenu hayo bado tena mnaanza Kuipigia Kelele na Pombe zenu hizo zilizowaingia vyema Vichwani mwenu na wengine hata mkiitapikia vile vile. Watekaji huwa wanawapatieni kweli kweli ‘ Mashemeji ‘ zangu nyie.
Kwani mkiianza safari Asubuhi hamfiki Moshi haraka hadi muwe mnalazimisha Kusafiri Usiku kwa Usiku tu? Na mnachonishangaza ‘ Mashemeji ‘ zangu nyie pale mkisimamishwa tu na ‘ Watekaji ‘ wenu kwa jinsi mlivyo Waoga wenyewe huwa mnaanza Kuwakabidhi Vitu vyenu vya Thamani japo wengine huwa mnameza Mabunda yenu ya Fedha na mkifika Moshi huwa mnayatoa kwa njia za ‘ Kiujasiri ‘ zaidi na kiasi cha Kupelekea hadi Noti zingine kuonekana zimechakaa na zinatoa harufu siyo Rafiki kwa Mwanadamu.
Alamsiki Mashemeji zangu Wachagga.