Kwanini Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa ndio makabila yenye nguvu kielimu na uchumi Tanzania?

Umemjibu yeye ndio ila mimi nimekazia point!

Perception uliyonayo ni wrong!

Hawa watu kama wanazungumzia origins zao almradi hawajamtukana yeyote usiwa-criminalize,waache wazungumzie ancestors zao!

Wewe unaamini makabila na origins za watu ni wrong,unaona origin ya "Uswahili" ulionao sasa ni sahihi,hakuna tatizo!

Bado Uswahili ni kabila la watu,wewe ulitokea pa kutokea sasa una claim Mswahili unaoringia!

Pia mimi kutokukuelewa ni sawa,sio lazima kila mtu aelewe mwenzake anachomaanisha,ndio maana tukawepo na sisi tusiokua na akili kama nyie!

Haya tueleweshe mwenye akili,wajinga tunakusikiliza mzee baba!
Hukupaswa kujibu kitu ambacho alipaswa kujibu aliyenukuliwa (quoted) ndiyo maana unakuja na majibu yasioeleweka
 
Kwa makabila hayo matatu ni mchagga tu ndio anajua biashara. Mhaya na biashara wapi na wapi, kumbe hujui vizuri nakabila haya.
mkuu we ndo huwajui wahaya vizuri, je wafanya biashara wakubwa wa samaki dagaa, nguo na viatu kanda ya ziwa ni watu gani kama sio wahaya?
 
Wakoloni waliiingia TZ kupitia maeneo yao, wakaeneza dini na elimu huko, si suala la kuwa na akili, ni suala la kutangulia kukutana na mwanga.
Ukweli kabisa huwezi ukalinganisha uwezo wa Akili wa Muhaya na Mgogo au Mpogoro. Makabila ya hasa ya Central Tanzania Akili hakuna Pwani akili Hakuna
 
Ni Waha,wanyantuzu,wakerewe.
mha ni mmachinga na mfanya biashara mdogo kanda hiyo, mnyantuzu kazi yake shamba na vibarua, mkerewe kazi yake kubwa uvuvi, kanda nzima ya ziwa mhaya ndo ana oparate biashara kubwa za nguo, viatu, samaki, dagaa na nk..
 
Wasomi wahaya matajiri ni wasukuma na wakurya. Huu ndio ukweli kwa kanda ya ziwa.
Hebu tutajie matajiri wanaojulikana wakisukuma.

Nami nitaje wakihaya.


Maana naona umenichokoza.



Magufuli mwenyew anawalaumu Sana wahaya Kwa kutojenga vitega uchumi vingi bukoba badala wanajenga nyumba zao binafsi vijijin na anajua haswa kuwa bukoba kuna matajiri wengi tu.na wasomi.
 
Hebu tutajie matajiri wanaojulikana wakisukuma.

Nami nitaje wakihaya.


Maana naona umenichokoza.



Magufuli mwenyew anawalaumu Sana wahaya Kwa kutojenga vitega uchumi vingi bukoba badala wanajenga nyumba zao binafsi vijijin na anajua haswa kuwa bukoba kuna matajiri wengi tu.na wasomi.
Jumanne kishimba
Joseph kasheku msukuma
John cheyo mapesa
Hamis tabasam
 
Siyo kweli hivi mhaya ana utajiri gani kuzidi msukuma na mkurya ?
utakuwa na matatizo kweli.

Kanda ya ziwa hakuna watu wenye hela na wasomi kama wahaya.


Na wamewekeza Sana mikoani Dar,Morogoro,mwanza nk nk



Unaambiwa vanilla kilo moja Tu laki moja na bado 65% ya ndizi zote tz ni za kagera.bila kusahau kahawa ambayo 74% hutoka kagera.

Sukari yenyew unayokunywa hapo mwanza hutoka kagera bila kusahau majani ya chai.


Mazao mengine kama parachichi,mihogo tena siku hiz watu wanalima miti Sana .

Bila kusahau uvuvi wa samaki na biashara za mipakani



We ukiona zile nyumba vijijin nzr husifikiri ni wasomi Tu kuna na hawa wakulima.


Ndo maana pamoja na wahaya kukimbia mkoa wao bado mkoa huu ni wa tatu Kwa idadi ya watu nchini baada ya mwanza na Dar bila kusahau population Density.
 
Kwa mujibu wa serikali mikoa yenye wakazi wengi matajiri ( maskini wachache) ni hi :
1. Dar es salaam (Wazaramo + Wandengereko)
2.Pwani (Wazaramo, Wandengereko,Wakwere+Wadoe)
3.Kikimanjaro (Wachaga +Wapare)
4. Arusha (Wamasai + Wameru)
5.Manyara ( Wairak,wambulu,nk)

Sasa hizi takwimu za maksio sijui mmezitoa wapi?
Elimu Sasa hivi kila Kijiji kina msomi wa digrii, Thanks to Jakaya na Shule za sekonadri za kata.
Safi sn mkuu, Apo arusha ongeza wasonjo na wenzao wamangati na wale wanaotegemea mizizi km chakula chao
 
mkuu we ndo huwajui wahaya vizuri, je wafanya biashara wakubwa wa samaki dagaa, nguo na viatu kanda ya ziwa ni watu gani kama sio wahaya?
Atakuwa na matatizo Sana ya akili.


Kwanza kanda ya ziwa nzima Hadi magharibi hakuna mkoa uliojengeka vijijin kama kagera.

Tena specifically wilaya za wahaya muleba, bukoba vijijin na misenyi Hadi karagwe.


Mwanza mjini yenyew hapo kuna wahaya kibao ndo maana meli hushusha watu 1200 kutoka bukoba kila siku hapo mwanza na meli nyingine inajengwa kubwa zaidi.


Bila kusahau Route za ndege hadi air Tanzania, precision air na mpaka Kenya airways ilitaka kwenda bukoba.
flights-to-bukoba-with-kenya-airways.jpeg
 
Atakuwa na matatizo Sana ya akili.


Kwanza kanda ya ziwa nzima Hadi magharibi hakuna mkoa uliojengeka vijijin kama kagera.

Tena specifically wilaya za wahaya muleba, bukoba vijijin na misenyi Hadi karagwe.


Mwanza mjini yenyew hapo kuna wahaya kibao ndo maana meli hushusha watu 1200 kutoka bukoba kila siku hapo mwanza na meli nyingine inajengwa kubwa zaidi.


Bila kusahau Route za ndege hadi air Tanzania, precision air na mpaka Kenya airways ilitaka kwenda bukoba.View attachment 1535881
Ilitaka kwenda bukoba lakini haikwenda kutokana na sababu za kibiashara kwamba wasafiri ni wachache
Eti wilaya za 'wahaya' na dar pia kuna 'mitaa ya kwa wahaya'
 
Jumanne kishimba
Joseph kasheku msukuma
John cheyo mapesa
Hamis tabasam
Yaan hao ndo matajiri wakubwa usukumani ?
Yaan hao labda ulinganishe na mama wa hela za mboga Tibaijuka, Rweikiza, mwijage, masiringi labda na wakina bashungwa.


Hiv unajua Ally mufuruki alikuwa top ten ya matajiri tz kadri ya Forbes yeye Tu na mengi ndo weusi pekee.

Hiv unawajua wakina kairuki wamiliki wa kairuki hospitals na kairuki university.

Hiv unawajua Dk Remmy msambazajii wa mkwano

Hiv unamjua mesuma , kareju,kashamba, amir Hamza nk


Hao nimetaja wafanyabiashara Tu.


Bado rundo kubwa la watu wenye uchumi wa Kati yaani maprofesa, madokta,waalimu, wanasheria, mainginia nk waliojazana uhayani ndo ulinganishe na walisha ng'ombe wa kisukuma?
 
Yaan hao ndo matajiri wakubwa usukumani ?
Yaan hao labda ulinganishe na mama wa hela za mboga Tibaijuka, Rweikiza, mwijage, masiringi labda na wakina bashungwa.


Hiv unajua Ally mufuruki alikuwa top ten ya matajiri tz kadri ya Forbes yeye Tu na mengi ndo weusi pekee.

Hiv unawajua wakina kairuki wamiliki wa kairuki hospitals na kairuki university.

Hiv unawajua Dk Remmy msambazajii wa mkwano

Hiv unamjua mesuma , kareju,kashamba, amir Hamza nk


Hao nimetaja wafanyabiashara Tu.


Bado rundo kubwa la watu wenye uchumi wa Kati yaani maprofesa, madokta,waalimu, wanasheria, mainginia nk waliojazana uhayani ndo ulinganishe na walisha ng'ombe wa kisukuma?
Mufuruki alikuwa ni bilionea
 
Ilitaka kwenda bukoba lakini haikwenda kutokana na sababu za kibiashara kwamba wasafiri ni wachache
Eti wilaya za 'wahaya' na dar pia kuna 'mitaa ya kwa wahaya'
Acha iwepo Tu hiyo mitaa.


Lakin watu wachache wa kihaya wenye tabia chafu hawazuii wahaya wengi wenye elimu na uchumi mkubwa kutamba tz.


Yes kuna wilaya za wahaya ambazo vijiji vyake vimejengeka mno kuliko sehemu yoyote Tz.


Air Tz inakwenga marambili kila siku bukoba, bila kusahau Precision na auric
 
Back
Top Bottom