Kwanini Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa ndio makabila yenye nguvu kielimu na uchumi Tanzania?

Unajua takwimu zetu za Kiuchumi zinachoangalia kwahiyo wala huwezi kushangaa, Pwani kuna viwanda Vingi mno na Dar es Salaam ndio Uchumi wa nchi.

Lakini kwa akili hakuna Mzaramo mwenye akili au Mkwere
Akili ni nini?..
And prove it wazaramo hawana akili... ukishindwa kujibu basi tambua mzaramo ana akili kuliko wewe.....na wewe ni mjinga anayetumia hisia na sio common sense...
 
Sio sehemu wakizoingilia

Shule za siku hizi mnasomea ujinga?
mi mwenyewe nimeshangaa ina maana mkoloni alivyokuja tz aliingilia klm au bkb na mbeya suala ni kwamba mazingira ndio yalikuwa rafiki kwao kuweka makazi yao huko pamoja na mambo mengine ya kiuchumi
 
Akili ni nini?.. ukishindwa kujibu basi tambua mzaramo ana akili kuliko wewe.....
Uwezo wa Asili wa kufikiri na Kujifunza na hii inatofautiana kulingana na DNA, Lishe , hali ya Hewa na mfumo wa maisha ya Familia.

Mtoto wa Kichaga anazaliwa na mama mwenye Afya, akizaliwa mpaka anakuwa hajawahi kulala au kushinda njaa, anakaa kwenye familia ya Baba na Mama wenye Upendo, anaona wanavyojadili mambo ubongo unapanuka.

Mtoto wa Kizaramo anazaliwa anasikia Ngoma, baba analala kwa mke wa tatu, kula ni mihogo tu halafu madrasa kukariri.

Hawawezi kufanana wakienda shule
 
Unajua takwimu zetu za Kiuchumi zinachoangalia kwahiyo wala huwezi kushangaa, Pwani kuna viwanda Vingi mno na Dar es Salaam ndio Uchumi wa nchi.

Lakini kwa akili hakuna Mzaramo mwenye akili au Mkwere
Achana na dola hii ya Waswahili, ndio maana ikaitwa Bongo. Marais wawili wa Tz wametoka humo, alafu hatuna ujinga wa kusifia usomi wa mtu' au Utajiri wa mwingine au kuorodhesha majina yao. Hilo ubaki yeye na familia yake.
 
Uwezo wa Asili wa kufikiri na Kujifunza na hii inatofautiana kulingana na DNA, Lishe , hali ya Hewa na mfumo wa maisha ya Familia.

Mtoto wa Kichaga anazaliwa na mama mwenye Afya, akizaliwa mpaka anakuwa hajawahi kulala au kushinda njaa, anakaa kwenye familia ya Baba na Mama wenye Upendo, anaona wanavyojadili mambo ubongo unapanuka.

Mtoto wa Kizaramo anazaliwa anasikia Ngoma, baba analala kwa mke wa tatu, kula ni mihogo tu halafu madrasa kukariri.

Hawawezi kufanana wakienda shule
Prove it wazaramo wote wanaishi hivyo...?
Akili ni nini?..
Prove it wazaramo hawana akili...?
Prove it wazaramo hawana uwezo wa kufikiri

Bado hujajibu maswali yangu...umeulizwa maswali unaleta porojo....hii inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo...

Hivyo unakubali nikikuita mjinga anayetumia hisia kufikiri na sio common sense??...na mzaramo amekuzidi hizo akili? Considering mimi ni mzaramo pure UNAKUBALI?..
 
Asa niwe na wivu juu ya kabila mkuu?
Labda hujaishi mbeya mkuu.
Kwa kiasi kikubwa Matajiri waliopo pale ni Wakinga watu kutoka Makete huko.
Wanyaki wanaume kiasili sio wachapakazi, ila wanawake zao ni wawajibikaji.
Wakinga utajiri wao NI ushirikna
 
Tofautisha Kati ya spending culture na utajili..hv unajua bizaa za kodjec Ni mkinga na Ana produce kutkea China na ana uza all over Africa?ni mchaga gan anafnya hvo?
Ukiona Biashara mchaga hafanyi Ogopa sana. Kwa watu walioenda China unajua kabisa kuandika bidhaa jina unalotaka ni Quantity of order tu wala haina shaka na sio kwamba inalipa sana.
 
Prove it wazaramo wote wanaishi hivyo...?
Akili ni nini?..
Prove it wazaramo hawana akili...?
Prove it wazaramo hawana uwezo wa kufikiri

Bado hujajibu maswali yangu...umeulizwa maswali unaleta porojo....hii inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo...

Hivyo unakubali nikikuita mjinga anayetumia hisia kufikiri na sio common sense??...na mzaramo amekuzidi hizo akili? Considering mimi ni mzaramo pure UNAKUBALI?..
Hivi kuna Professor Mzaramo na sidhani pia kama kuna mwenye PHD kabila zima.
Lakini angalia matokea ya shule zao utaona aibu, leo hii Pwani watu kwenda kujenga kule shule wanazosoma watoto wa watu wa kipato cha kati ndio kidogo utaona inaomekana kupanda kielimu
 
Hivi kuna Professor Mzaramo na sidhani pia kama kuna mwenye PHD kabila zima.
Lakini angalia matokea ya shule zao utaona aibu, leo hii Pwani watu kwenda kujenga kule shule wanazosoma watoto wa watu wa kipato cha kati ndio kidogo utaona inaomekana kupanda kielimu
Bado hujajibu maswali yangu...umeulizwa maswali unaleta porojo....hii inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo...

Hivyo unakubali nikikuita mjinga anayetumia hisia kufikiri na sio common sense??...na mzaramo amekuzidi hizo akili? Considering mimi ni mzaramo pure UNAKUBALI?..

Answer the questions please..
 
Najifunza Nini Sasa kutoka kwako?
Au kwani hapa tuko kushindana?
Mpaka useme kubali kuzidiwa?
Unafurahia a
Hili NI jukwaa huru kila mtu anatoa mawazo yake na kile anachokijua
UsimoaImishe mtu aamini kile unachokiamini wewe?
Sio kila ninacho comment unarukia kunilazimisha niamini ya kwako
 
Najifunza Nini Sasa kutoka kwako?
Au kwani hapa tuko kushindana?
Mpaka useme kubali kuzidiwa?
Unafurahia a
Hili NI jukwaa huru kila mtu anatoa mawazo yake na kile anachokijua
UsimoaImishe mtu aamini kile unachokiamini wewe?
Sio kila ninacho comment unarukia kunilazimisha niamini ya kwako
Come up with some real facts if its the trash we ain't taking it anyhere we just put it in the dustbin..
 
Bado hujajibu maswali yangu...umeulizwa maswali unaleta porojo....hii inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo...

Hivyo unakubali nikikuita mjinga anayetumia hisia kufikiri na sio common sense??...na mzaramo amekuzidi hizo akili? Considering mimi ni mzaramo pure UNAKUBALI?..

Answer the questions please..
Vijana wa mikoani wana shida, huyu anayeandika pengine ndie Yuko Dar hataki kurudi kwao. Kule ni vibanda vya msonge,ndizi,dagaa na furu ndio chakula Chao. Umaskini mikoani ni mkubwa mno. Watu wanshindia viazi au uji. Mboga kupata ni shida kutokana na umaskini wa kipato.

Wanavyotamba humu ni tofauti na uhalisia ndio maana wakitoka vijijini ni nadra kurudi huko kpaka wafe ndio wanasafiri wa kuzikwa.
 
Umaskini pia ni kielelezo cha kukosa akili kukabiliana na mazingira. Katika mikoa mitano iliyokithiri kwa umaskini Tanzanzia,Kagera nayo ipo, na katika mikoa mitatu yenye wakazi wengi wanaojiweza (Utajiri) Kuna mikoa miwili ya Pwani ambayo ni Pwani na Dar es salaam. Sijui hili
unalizungumziaje mkuu?
Kagera ilikuwepo Kwa sababu GDP Yale ni ndogo Sana kuliko Idadi ya watu. Na hii sababu ni biashara za magendo zilizoshamiri mipakani mwa Uganda,Rwanda , Burundi na Kenya kupitia ziwani.
Ndo maana Ripoti ya 2018 kagera imepanda Hadi nafasi ya 11 kutoka tano Bora


Mkoa wa kagera Una watu million tatu na laki moja ukiwa wa tatu nchini baada ya Dar na mwanza na population density pia ni wa tatu ukiwa na 119.6 Kwa kilomota moja.

Lakin GDP yake ni mkoa wa kumi Tanzania



Ndo maana Ripoti ilivyotolewa watu wengi hasa wa kagera walishangaa maana watu wengi kagera Wana maisha mazuri Tu kulinganisha na mikoa mingi na wew ukija kagera utagundua hilo
 
Back
Top Bottom