Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Sina uhakika sana kama wengi ni mashoga kuliko wasio mashoga kwa sababu sina takwimu zinazothibitisha upande mmoja au mwingine lakini kuna ukweli kuwa kuna idadi kubwa ya wanamitindo wakubwa na wenye majina hata huko Ulaya na Marekani walio na mwelekeo wa hivyo.

Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen alikuwa shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.

Sasa mnaopenda designer products kama mnazo za hao jamaa (au hata wengine) sijui mtazitupa baada ya kugundua kuwa hao wote ni mashoga au mtajishaua na kujifanya mtazitupa kama wale waliojidai watazitupa iPhones na iPads zao kisa CEO wa Apple ni shoga?

Bottom line, mashoga wapo kwenye kila nyanja, tasnia, na sekta!

Georgio Arman
 
kwa hiyo hata wanaowananii wake zao au wachumba sehemu ambayo si sahihi ni mashoga na hao??

Kwani ushoga ni nini?

Mi nijuavyo shoga ni mtu anayefanya mapenzi na mtu wa jinsia yake.

Sasa mwanaume anayemfira mwanaume mwenzake yeye anakuwa hafanyi mapenzi?

Anayekuwa anafanya mapenzi ni mfirwaji peke yake?

Sielewi kabisa hii dhana ya baadhi ya watu kufikiri kwamba kumfira mwanaume mwenzako ni sifa nzuri (kwamba si ushoga) ila kufirwa tu ndo sifa mbaya (ushoga).

Mfiraji na mfirwaji wote ni mashoga kwa sababu wanashiriki katika mapenzi ya jinsia moja.

Huo ndo uelewa wangu.
 
Rio paul au nanii!!?na kalivyoo looo
Tuweke hiyo video tuone tuta.ko twake tunavyozunguka mfyuuuuu

Unapoona mtu kama huyo usicheke,bali muombee kwa mungu amsaidie atoke kwenye tabia hiyo, kwakuwa hata wazazi wake wanaumia sana, na ikizingatia wote tuna vizazi tumuombe mungu atupe vizazi vyema
 
Utafiti wako ni kweli wengi wao wanakuwa si rizki, hata mimi nimegundua hilo
 
Ndugu yangu kuweka na kuweka siyo sawa. Shoga lazima wakufaidi. Kama unafaidi tu wewe si shoga ndugu.

Weee si kweli kama alivyosema hapo NN, ,ukifanya mapenzi ya jinsia moja we ni shoga,,na hua wanapakuana tena umamfanya nae anakufanya,japo kuna wengine mashoga hua hawasimamishi wao wanafanywa tu
 
Sina uhakika sana kama wengi ni mashoga kuliko wasio mashoga kwa sababu sina takwimu zinazothibitisha upande mmoja au mwingine lakini kuna ukweli kuwa kuna idadi kubwa ya wanamitindo wakubwa na wenye majina hata huko Ulaya na Marekani walio na mwelekeo wa hivyo.

Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen alikuwa shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.

Sasa mnaopenda designer products kama mnazo za hao jamaa (au hata wengine) sijui mtazitupa baada ya kugundua kuwa hao wote ni mashoga au mtajishaua na kujifanya mtazitupa kama wale waliojidai watazitupa iPhones na iPads zao kisa CEO wa Apple ni shoga?

Bottom line, mashoga wapo kwenye kila nyanja, tasnia, na sekta!

Watu wengi ni wadau wa D & G ila sikujua kama ni mashoga!Na logo yao inakick!
 
Kwani ushoga ni nini?

Mi nijuavyo shoga ni mtu anayefanya mapenzi na mtu wa jinsia yake.

Sasa mwanaume anayemfira mwanaume mwenzake yeye anakuwa hafanyi mapenzi?

Anayekuwa anafanya mapenzi ni mfirwaji peke yake?

Sielewi kabisa hii dhana ya baadhi ya watu kufikiri kwamba kumfira mwanaume mwenzako ni sifa nzuri (kwamba si ushoga) ila kufirwa tu ndo sifa mbaya (ushoga).

Mfiraji na mfirwaji wote ni mashoga kwa sababu wanashiriki katika mapenzi ya jinsia moja.

Huo ndo uelewa wangu.
Upo sawa kabisa...
 
Ndugu yangu kuweka na kuweka siyo sawa. Shoga lazima wakufaidi. Kama unafaidi tu wewe si shoga ndugu.

Wacha upunguani wewe...

Gay ni mtu yoyote mwenye attraction ya zinaa na mtu wa jinsia yake..awe analiwa au aliwi..

Anayekula ana kuwa ana attraction na anyeliwa anakuwa ana attration...woooote ni mashogaaa....

Mnataka kuutokomeza ushoga angali mnakata matawi na mizizi mnsicha....Yani vidole juu ndo mnawaita mashoga..

Kwa taarifa yako wote ni mashoga...
 
USHOGA ni vitendo vya mwanaume kushiriki kimapenzi na mwanaume mwenzake.Awe mlaji au mliwaji,wote tunawaita mashoga
 
Back
Top Bottom