Bhanunu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 798
- 243
Rio paul au nanii!!?na kalivyoo looo
Tuweke hiyo video tuone tuta.ko twake tunavyozunguka mfyuuuuu
Kazi kusema watu domo kaa kubwa
Rio paul au nanii!!?na kalivyoo looo
Tuweke hiyo video tuone tuta.ko twake tunavyozunguka mfyuuuuu
Mbona nimemaeaech cjaona masai
Sina uhakika sana kama wengi ni mashoga kuliko wasio mashoga kwa sababu sina takwimu zinazothibitisha upande mmoja au mwingine lakini kuna ukweli kuwa kuna idadi kubwa ya wanamitindo wakubwa na wenye majina hata huko Ulaya na Marekani walio na mwelekeo wa hivyo.
Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen alikuwa shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.
Sasa mnaopenda designer products kama mnazo za hao jamaa (au hata wengine) sijui mtazitupa baada ya kugundua kuwa hao wote ni mashoga au mtajishaua na kujifanya mtazitupa kama wale waliojidai watazitupa iPhones na iPads zao kisa CEO wa Apple ni shoga?
Bottom line, mashoga wapo kwenye kila nyanja, tasnia, na sekta!
Ushoga ni kuwekwa si kuweka
kwa hiyo hata wanaowananii wake zao au wachumba sehemu ambayo si sahihi ni mashoga na hao??
Ushoga ni kuwekwa si kuweka
Rio paul au nanii!!?na kalivyoo looo
Tuweke hiyo video tuone tuta.ko twake tunavyozunguka mfyuuuuu
Ndugu yangu kuweka na kuweka siyo sawa. Shoga lazima wakufaidi. Kama unafaidi tu wewe si shoga ndugu.
Mliwa na mlaji wote mashoga..kwa wanaume mara nyingi ni casual tu mbona
sasa kuna mambo mawil
kuna models na desgners
desgners wanakuaga mashoga na wanaliwa na models wao chezea six pac
Ndugu yangu kuweka na kuweka siyo sawa. Shoga lazima wakufaidi. Kama unafaidi tu wewe si shoga ndugu.
hapo ndo mwenyewe tafsiri yake imenishinda
Anaefira na anaefirwa wote ni mashoga, maana hua wanapakuana tena zamu kwa zamu
Sina uhakika sana kama wengi ni mashoga kuliko wasio mashoga kwa sababu sina takwimu zinazothibitisha upande mmoja au mwingine lakini kuna ukweli kuwa kuna idadi kubwa ya wanamitindo wakubwa na wenye majina hata huko Ulaya na Marekani walio na mwelekeo wa hivyo.
Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen alikuwa shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.
Sasa mnaopenda designer products kama mnazo za hao jamaa (au hata wengine) sijui mtazitupa baada ya kugundua kuwa hao wote ni mashoga au mtajishaua na kujifanya mtazitupa kama wale waliojidai watazitupa iPhones na iPads zao kisa CEO wa Apple ni shoga?
Bottom line, mashoga wapo kwenye kila nyanja, tasnia, na sekta!
Ushoga ni kuwekwa si kuweka
Katawazee haraka lione ushafirwa tayari,hiyo kazi tuachie sie mtoto wa kiume usiojua vibaya gume gume lililoshindikana poyeeeeee
Upo sawa kabisa...Kwani ushoga ni nini?
Mi nijuavyo shoga ni mtu anayefanya mapenzi na mtu wa jinsia yake.
Sasa mwanaume anayemfira mwanaume mwenzake yeye anakuwa hafanyi mapenzi?
Anayekuwa anafanya mapenzi ni mfirwaji peke yake?
Sielewi kabisa hii dhana ya baadhi ya watu kufikiri kwamba kumfira mwanaume mwenzako ni sifa nzuri (kwamba si ushoga) ila kufirwa tu ndo sifa mbaya (ushoga).
Mfiraji na mfirwaji wote ni mashoga kwa sababu wanashiriki katika mapenzi ya jinsia moja.
Huo ndo uelewa wangu.
Ndugu yangu kuweka na kuweka siyo sawa. Shoga lazima wakufaidi. Kama unafaidi tu wewe si shoga ndugu.