Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kweli aisee...mi ninao mpaka ushahidi,jirani yangu tumesoma wote tangu std 1 mpaka advance ila baada ya hapo akawa designer...mambo anayoyafanya sasahivi ni kama yuko marekani na michael scofield....shoga.
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tanzania ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakuwa na tabia za kike na wengine wana muonekano wa kianamke?

Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kishoga hii inasababishwa na nini jamanii?
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
 
Mwanaume mzima unavaa vinguo vilivyobana makalio kisha unaanza kutembea jukwaani kwa madaha huku ukituonesha msambwanda wanaume wenzio,!!
Unadhani uanaume ni kazi rahisi namna hiyo?
Yani ufanye kazi ya kuturingishia makalio alafu utegemee uwe mwanaume kamili gado?
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
duuu! hamna mwanaime hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
duuu! hamna mwanaime hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom