Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 835
yaan acha tu kuna dogo kamaliza form 4 last year kajiingiza kwenye mamb ya mitindo halaf alikua na tabia za kike tangu sekondar
Nguvu kaz hii inapoteaJaman tuacheni na maisha yetu kama tumependa mboro ni sisi khaaaa jadilini esrow huko
Kwani martin ana shida gani?yaan acha tu kuna dogo kamaliza form 4 last year kajiingiza kwenye mamb ya mitindo halaf alikua na tabia za kike tangu sekondar ila sahv nimeanza kumuona na martin kadinda baada ya 2 years sijui itakuaje
Yule naye c rizikiKwani martin ana shida gani?
Mmmmmmh!!!!Yule naye c riziki
Mkuu naona una hacra sanaHIVI MWENYE AKILI MBOVU NI NANI TOP AU BOTTOM?
HAO MASHOGA WANAFANYWA NA NANI? WANAUME ACHENI UNAFIKI
MMECHOKA KUITA WANAWAKE MALAYA SASA MNALAUMU MASHOGA JIULIZE WAPO KWA SABABU GANI ?
Tupiamo.. .Tupiamo japo kapict.
Wenyewe wanajiita wasafi...walamba lips...hahaHabari zenyu wana jamvii
Nimeleta uzi huu baada ya kuona tunawapoteza vijana wengi sana ambao mwanzo wao hua ni Models lakin wengi wao huishia kua mashoga wenye viwango...Tafakari na tuambizane hii inasababishwa na nini??
Ahsant...nawasilisha!